the circus
Member
- Oct 24, 2011
- 71
- 59
Hakuna kipya
Mwanzo wa kuchukua hatua ni kuwa na taarifa kama hizi,lakini Membe jana akiwa ITV alisema walikubaliana warudishiwe fedha ila waliohusika wasishitakiwe..sijui sheria za nchi gani hizi
Changa la macho hilo, BAE iliamriwa na mahakama(?) ya Uingereza iirudishie Tz hela waliyokwapua, kama kulikuwa na makubaliano ya hivyo ni kati ya BAE na vyombo vyao vya kisheria (?) Inazuia vipi sheria yetu kuwawajibisha wezi wetu ambao ni raia wetu pia?! Anyway, mimi siyo mwanasheria. Lakini haiingii akilini mwizi aliyekuibia akurudishie mali yako kwa masharti anayokuwekea yeye! Ina maana ileile hela waliyotuibia imetumika kutuhonga ili tusiwashitaki vibaraka wao walio kati yetu!!Kwa wale mliomsikia Membe J3 ITV kwenye kile kipindi cha dakika 45 aliweka wazi kwamba kampuni ya BAE na mahakama walikubaliana kwamba watarudisha pesa Tanzania kwa sharti ya kuwa wale wote waliohusika watakuwa na kinga ya kutoshtakiwa sasa sijui Tanzania tunafuata hayo makubaliano yao huko uingereza au tutawachukulia hatua.
Analalamika nini sasa? Yeye atuambie 2.4 Trillion zimeenda wapi? Au tusubiri hadi atakapotoka madarakani ndio tuhoji?Enzi hizo manunuzi yanafanyika kwa dili tupu. Acha Magufuli alalamike tu, wametufikisha tulipo.
Alikuwa Gabana wa benk kuuDr. Idrisa Rashid? Huyu si alikuwa mkurugenzi wa TANESCO, ameingiaje tena BOT?
Huu mwendo wa fung fung bhana...Analalamika nini sasa? Yeye atuambie 2.4 Trillion zimeenda wapi? Au tusubiri hadi atakapotoka madarakani ndio tuhoji?
Safari hii hakuna cha kinga wala protection, ni mwendo wa fanfan tuu.