Kashfa nzito Jeshi la Polisi

Status
Not open for further replies.
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it before!

NInachofahamu mimi kuna shirika linaloitwa United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).

I stand to corrected.
Kabla huja-comment jipe mda kidogo wa ku-search taarifa usiyoielewa. Ni rahisi tu, just google it.

IOM: International Organization for Migration
 
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it before!

NInachofahamu mimi kuna shirika linaloitwa United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).

I stand to corrected.
Lipo mkuu...
 
Mkuu Bobuk
Hilo Shirika IOM Lipo Hapa Kama Mdau Aliyoeleza Ofisi Zao Zipo Masaki,Kigoma Kwenye Makambi Wana Ofisi Na Magari Yao Kwenye Milango Utaona Neno IOM
 
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it before!

NInachofahamu mimi kuna shirika linaloitwa United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).

I stand to corrected.
Pole kwa uelewa wako mdogo wa mambo ya kimataifa! Una umri gani mkuu? Yaani hujawahi kulisikia shirika linaitwa IOM? Hili mkuu linahusika na wahamiaji wa aina zote, wakati UNHCR linahusika na wakimbizi tu! Ila kuna issues wanashirikiana kwa ukaribu sana hasa linapokuja swala la kuwatafutia wakimbizi makazi ya kudumu nchi za Ulaya. Mfano kuna wakimbizi kutoka DRC, Burundi huwa wanatafutiwa makazi ya kudumu USA, Canada, Uswiss n.k.
 
Kwa asilimia 100 hii ni kweli, na jamaa wa GSM kaweka wengi sana mifukuni kwake hadi ma-R. wapo.
 
Kwa asilimia 100 hii ni kweli, na jamaa wa GSM kaweka wengi sana mifukuni kwake hadi ma-R. wapo.

RC gani huyo?? Mlete tumuone ili Mh Rais amuone na kumpa adhabu ya kutenguliwa uteuzi bila kupangiwa kazi nyingine
 
M
Unaangalia chanzo au content?? Kama wahusika wamepiogiwa simu na wamekiri kufahamu suala hilo wewe unakosaje imani?
Mwonee Huruma. Yeye kasoma kichwa cha habari na kukurupuka kupost. Contents hazijui. Mvivu huyo. Aibu kwake
 
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it before!

NInachofahamu mimi kuna shirika linaloitwa United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).

I stand to corrected.
Hayo mashirika yote yapo,kuna la wahamiaji na la wakimbizi
 
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it before!

NInachofahamu mimi kuna shirika linaloitwa United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).

I stand to corrected.
International organization for migration lipo mkuu
 
Hawa gsm wana nn kuna nyuz moja ililetwa juz ya mpakistan akiomba ushaur kwa madhira aliyotendewa na hawa akina gharib
 
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it before!

NInachofahamu mimi kuna shirika linaloitwa United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).

I stand to corrected.
Lipo mkuu ....kwa sisi tunao Fanya kazi mipakani tuna shinda nao hao.
 
Write your reply... Kuhusu shirika "International Organization for Migration" lipo, ofisi moja iko Masaki pale jirani na Double Tree Hotel....... hayo mengine unaweza kuchangia utakavyo mi simo.  Bobuk said:
Kuna shirika linaloitwa International Organization for Migration? Never heard it

The right to speak is reserved for those who take time to do research,!
 
Na sasa ndio limekwisha hivyo. Maelezo yenyewe hayashawishi ki hivyo. Mtu wa kujenga ghorofa anafugwa kama panzi hana kampuni ya ukandarasi hata makandarasi/ wahandisi wenzie wangemsaidia kulipwa. Milioni 250 si za kuzidai kitoto kitoto kama hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…