jojoe35
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 262
- 379
Salaam wanajamii,
Ni asubui tena tunamshukuru Mungu kwa ulinzi wake wa siku sita.Leo siku ya saba imetupasa kumshukuru kwa uhai aliotupa na kumwabudu kama alivo amuru hapo mwanzo baada ya uumbaji wa mbingu na nchi kwa siku sita.
Hivo jumuika pamoja na watakatifu wote duniani siku ya leo(jumamosi) katika kukumbuka uumbaji wa Mungu.
Neema ya Bwana iwe pamoja nanyi.
Ameen.
Ni asubui tena tunamshukuru Mungu kwa ulinzi wake wa siku sita.Leo siku ya saba imetupasa kumshukuru kwa uhai aliotupa na kumwabudu kama alivo amuru hapo mwanzo baada ya uumbaji wa mbingu na nchi kwa siku sita.
Hivo jumuika pamoja na watakatifu wote duniani siku ya leo(jumamosi) katika kukumbuka uumbaji wa Mungu.
Neema ya Bwana iwe pamoja nanyi.
Ameen.