Capricon hotel ipo kwa juu wee ukifika mtoni pale ni pm
Wakuu lugha zinakua kila siku. sipo bongo kama mwaka sasa lakini naomba kueleweshwa kuni pm ndio nini??? majuzi nilipiga simu niliambiwa jamaa kafulia nikawa najiuliza kafulia ndio nini baada ya kuuliza nikaeleweshwa maana yake.
Kuni PM ni mpya kwangu....
Natanguliza shukran