Hiyo Nyama sio mbichi....nimekumbuka 2012-2014 nikiwa Advance shule moja huko Mkoani Mara tulikuwa tunakula nyama kama hizo zinakuwa na rangi nyekundu jambo ambalo mwanzo tulipata wasiwasi sana mpaka tukawa tunahoji na baadhi yetu wakaacha kabisa kutumia... walisisitiza ni nyama ya ng'ombe japo mpaka Leo siamin ila nilikuwa nakula tu....
Sent using
Jamii Forums mobile app