mwalimu mkweli
Member
- Dec 23, 2017
- 35
- 69
Tarehe 25/8/2020 serikali imefungua maombi ya kuanza kuomba kujiunga katika vyuo vya ualimu kikiwemo PATANDI....
Kimsingi vyuo vyote vya ualimu vitaanza kutoa STASHAHADA baadala ya ASTASHAHADA hivyo kakauli rahisi ni kuwa hakuna tena ualimu ngazi ya cheti itakayotolewa na wizara..
SIFA ZA KUJIUNGA NA PATANDI
Sifa hizi zimegawanyika sehemu mbili walimu kazini na wale wasio walimu kazini kama ifuatavyo:-
i-Walimu kazini stashahada ya msingi
a)uwe na uzoefu wa miaka miwili kazini
b) uwe umepata ufaulu katika somo lolote la sayansi katika kidato cha nne
Muda wa kozi: miaka miwili
ii-Walimu kazini stashahada ya sekondari
a)uzoefu miaka miwili kazini
b)uwe na stashahada nyengine ya sekondari
c)uwe na ufaulu wa masomo ya sayansi katika kidato cha sita.
iii-walimu wasio kazini
a)uwe umemaliza kidato cha nne au kidato cha sita kati ya mwaka 2017 na 2018 tu
b)uwe umepata ufaulu kati ya daraja I - III kidato cha nne
c) uwe na ufaulu kwenye masomo ya sayansi na hisabati
d) cheti cha kidato cha sita ni sifa ya ziada
Kujiunga na na chuo cha ualimu patandi unaingia www.moe.go.tz unajaza fomu maalumu....
Kimsingi vyuo vyote vya ualimu vitaanza kutoa STASHAHADA baadala ya ASTASHAHADA hivyo kakauli rahisi ni kuwa hakuna tena ualimu ngazi ya cheti itakayotolewa na wizara..
SIFA ZA KUJIUNGA NA PATANDI
Sifa hizi zimegawanyika sehemu mbili walimu kazini na wale wasio walimu kazini kama ifuatavyo:-
i-Walimu kazini stashahada ya msingi
a)uwe na uzoefu wa miaka miwili kazini
b) uwe umepata ufaulu katika somo lolote la sayansi katika kidato cha nne
Muda wa kozi: miaka miwili
ii-Walimu kazini stashahada ya sekondari
a)uzoefu miaka miwili kazini
b)uwe na stashahada nyengine ya sekondari
c)uwe na ufaulu wa masomo ya sayansi katika kidato cha sita.
iii-walimu wasio kazini
a)uwe umemaliza kidato cha nne au kidato cha sita kati ya mwaka 2017 na 2018 tu
b)uwe umepata ufaulu kati ya daraja I - III kidato cha nne
c) uwe na ufaulu kwenye masomo ya sayansi na hisabati
d) cheti cha kidato cha sita ni sifa ya ziada
Kujiunga na na chuo cha ualimu patandi unaingia www.moe.go.tz unajaza fomu maalumu....