Car4Sale Karibu uagize kutoka Be forward!

Kale kale kabisa kakufunga na kufungua kale kana gonga 30mil

Cc zake ni 4,300 hivi

Supra inasubiri pale mzee wangu
 
Kale kale kabisa kakufunga na kufungua kale kana gonga 30mil

Cc zake ni 4,300 hivi

Supra inasubiri pale mzee wangu
Hahah ndio ugonjwa wangu huo,niliwahi kua na Mazda Miata nayo Ni convertible sema tatizo ilikua soft top,Ila kalikua enjoyable.

Hata Sasa hivi naitamani sana Honda S2000 Ila price iko juu Saaana so option nitakayokua nayo Ni hio soarer,Bmw z3/z4 tatizo lake Ni reliability hapo.

Hizo cc4300 zisikutishe Sana,linatoa HP 280 tu.Hio engine yake 3UZ-FE ilishakua pia kwny crown majesta
 
True story mzee wangu, true story!!
Mambo ya #ndukinduki
 
Mitsubishi Outlander

▫️Manufacture Year: 2010
▫️Engine Capacity Cc: 2,350
▫️Mileage: 101,275 km
▫️Engine Code : 24G
▫️Fuel: Petrol
▫️Transmission: Automatic

Price: TZS 22,200,000/= ( JUMLA )


KARIBU OFISINI, UPEWE MKATABA NA INVOICE KISHA

LIPIA : TZS 11,500,000/=

MALIZIA : TZS 10,700,000/=
( KWA AWAMU, 12 )


MUDA : MIEZI KUMI NA MBILI ( MWAKA )


KILA MWEZI : TZS 892,000/=




KAZI NI KWAKO !!!


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY


#mkopowagari
#garimbeya
#mitsubishioutlander







 
Vipi kuhusu price na upatikanaji wa IST new model (kuanzia 2008), 1300cc, 2WD
Kama ni new model mzee wangu, ile yenye shape fulani kama ki -suv

Ambayo iko tofauti kabisa na ist zote za kawaida, ile huwa cc zake huanzia 1,490cc mzee

Ila zile zingine ndio huwa zina hizo cc mzee

Sasa sijui ndio hiyo wamaanisha?

Karibu sana
 
BMW 3 SERIES

▫️Manufacture Year: 2007
▫️Engine Capacity Cc: 1,990
▫️Mileage: 85,279 km
▫️Engine Code : N46B14B
▫️Fuel: Petrol
▫️Transmission: Automatic

Price: TZS 14,780,000/= ( JUMLA )


KARIBU OFISINI, UPEWE MKATABA NA INVOICE KISHA

LIPIA : TZS 9,000,000/=

MALIZIA : TZS 5,780,000/=
( KWA AWAMU, 12 )


MUDA : MIEZI KUMI NA MBILI ( MWAKA )


KILA MWEZI : TZS 482,000/=




KAZI NI KWAKO !!!


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY


#mkopowagari
#garimbeya
#bmw3series







 
Yes, haswaa nilikuwa namaanisha hiyo IST yenye shape hiyo lakini iwe 2WD kama ipo, sikuwa najua hizo engine CC zake kwa uhakika.
Please nipe price
Kama ni new model mzee wangu, ile yenye shape fulani kama ki -suv

Ambayo iko tofauti kabisa na ist zote za kawaida, ile huwa cc zake huanzia 1,490cc mzee

Ila zile zingine ndio huwa zina hizo cc mzee

Sasa sijui ndio hiyo wamaanisha?

Karibu sana
 
Yes, haswaa nilikuwa namaanisha hiyo IST yenye shape hiyo lakini iwe 2WD kama ipo, sikuwa najua hizo engine CC zake kwa uhakika.
Please nipe price
Good Morning Mzee,

2WD tuliyonayo ni ya 2009
Gharama zote jumla hadi mikononi ni Tzs 20,036,400/=

Lakini unaaeza kuqgiza kupitia sisi EAPGS, ukalipia tuu Tzs 11,414,400/=

Unaletewa gari yako pendwa na kukabidhiwa

Tzs 8,622,000/= iliyobakia unamalizia kwa awamu 12 ( Mwaka mmoja )

Kila mwezi , Tzs 718,500/=
 
Nimekupata vizuri.
Naona bei ya hizo IST new model imechangamka, inafika mpaka 20m.
Nini kinafanya kuwa na hiyo wide price gap ikiwa utailinganisha na old model while karibu kila kitu kiko sawa ukiondoa body shape?
 
Nimekupata vizuri.
Naona bei ya hizo IST new model imechangamka, inafika mpaka 20m.
Nini kinafanya kuwa na hiyo wide price gap ikiwa utailinganisha na old model while karibu kila kitu kiko sawa ukiondoa body shape?
Swali zuri mzee wangu

Lakini ninaweza nisiwe na jibu la moja kwa moja, kwasababu kama unavyojua

Kuna wanaopanga bei, sasa hawa ndio ambao walipaswa kutoa ufafanuzi wakina .

Naamini umenielewa.

EAPGS
 
mkuu office yako umesema ipo mbeya, je lazima tuje huko? mfano wen'gine tupo dodoma wanahituaji huduma yako itakuwa je?
na tunakuomba utuwekee number ya simu hiyo ya whatsaap

na vipi kuhusu hayo malipo yalobakia ambayo mtu anatakiwa alipe kwq muda w mwaka?

mnamuamini vipi mtu? naomba utupe masharti, na je hii kwa waajiriwa tuwatapata huduma hizo? , au kwa mtu yoyote yule ? , asante
 
 
MERCEDES BENZ

▫️Manufacture Year: 2012
▫️Engine Capacity Cc: 1,590
▫️Mileage: 95,873 km
▫️Engine Code : 270
▫️Fuel: Petrol
▫️Transmission: Automatic

Price: TZS 23,100,000/= ( JUMLA )


KARIBU OFISINI, UPEWE MKATABA NA INVOICE KISHA

LIPIA : TZS 14,508,000/=

MALIZIA : TZS 8,592,000/=
( KWA AWAMU, 12 )


MUDA : MIEZI KUMI NA MBILI ( MWAKA )


KILA MWEZI : TZS 712,000/=




KAZI NI KWAKO !!!


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY
+255 682 274 097

#mkopowagari
#garimbeya
#mercedesbenzbclass









 
TOYOTA CROWN ATHLETE

▫️Manufacture Year: 2004
▫️Engine Capacity Cc: 2,490
▫️Mileage: 142,217 km
▫️Engine Code : 4GR
▫️Fuel: Petrol
▫️Transmission: Automatic

Price: TZS 15,318,000/= ( JUMLA )


KARIBU OFISINI, UPEWE MKATABA NA INVOICE KISHA

LIPIA : TZS 8,940,000/=

MALIZIA : TZS 6,378,000/=
( KWA AWAMU, 12 )


MUDA : MIEZI KUMI NA MBILI ( MWAKA )


KILA MWEZI : TZS 531,500/=




KAZI NI KWAKO !!!


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY
+255 682 274 097

#mkopowagari
#garimbeya
#crownathlete









 
NISSAN JUKE

▫️Manufacture Year: 2010
▫️Engine Capacity Cc: 1,490
▫️Mileage: 119,630 km
▫️Engine Code : HR15
▫️Fuel: Petrol
▫️Transmission: Automatic

Price: TZS 21,850,000/= ( JUMLA )


KARIBU OFISINI, UPEWE MKATABA NA INVOICE KISHA

LIPIA : TZS 12,500,000/=

MALIZIA : TZS 9,350,000 /=
( KWA AWAMU, 12 )


MUDA : MIEZI KUMI NA MBILI ( MWAKA )


KILA MWEZI : TZS 780,000 /=




KAZI NI KWAKO !!!


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
WHATSAPP ONLY
+255 682 274 097

#mkopowagari
#garimbeya
#nissanjuke





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…