Karibu Kigamboni Mpya

Karibu Kigamboni Mpya

Minataka Daraja vipi? (Joke) hvi naweza kupata kiwanja maemneo ya mji mwema? na vina Range kiasi gani kwa bei?
sorry kwa kudandia uzi , mi nina viwanja nauza dar es salaam zoo ni umbali wa 16km toka darajani vimepimwa na vinauzwa kwa Tsh.13,000/= kwa SQM , mji mwema mpk kibugumo unaweza pata ila havijapimwa na bei ni 5m mpk 25m. kutegemeana na ukubwa
 
sorry kwa kudandia uzi , mi nina viwanja nauza dar es salaam zoo ni umbali wa 16km toka darajani vimepimwa na vinauzwa kwa Tsh.13,000/= kwa SQM , mji mwema mpk kibugumo unaweza pata ila havijapimwa na bei ni 5m mpk 25m. kutegemeana na ukubwa
Mkuu kama wewe ni dalali ni vizuri ujipiganie mwenyewe kwa kufungua uzi wako , sio hivi unavyofanya!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom