DSM moja ninayoijua au kuna nyingine iliyoshushwa kutokea binguni......
Mumeacha kupigiwa mapicha pale Mfangale ambayo mlijengewa na Japan kama msaada.
Kama hiyo ya Mfangale tumekua nazo nyingi kwa muda mrefu, ila hii Expressway ndio inakomesha yaani.