Kariakoo software tuna unlock na kutengeneza simu za aina zote

Kariakoo software tuna unlock na kutengeneza simu za aina zote

frank4i

Member
Joined
Nov 4, 2015
Posts
88
Reaction score
25
Tunadeal na kutoa google account au FRP lock pia network lock kama simu yako inatumia aina moja ya mtandao pia tunarepair network tunatoa virus kwa zile simu ambazo zinajidownload program na kujiwasha data na huduma nyingine nyingiii kabisa karibu online ningependa kupata matatizo yenu sasa.
 
IPhone 6 mtu nimeikota kwenye gari langu mute amesahau alikua anaenda chuo Nevada university mow nilikua tax driver sasses ina irock je utauweza
 
IPhone 6 mtu nimeikota kwenye gari langu mute amesahau alikua anaenda chuo Nevada university mow nilikua tax driver sasses ina irock je utauweza
Nina wasiwasi kama ikifungulowa utweza tumia kwasababu unavyochapia

.
 
Hamna namba wala maelezo zaidi,
ok huawey y330 bei gani?
 
Lenovo a5000,ina zima na kuwaka yenyewe.Unaweza shtuka imejizima mfukoni,na kujiwasha
 
Ku unlock simu inayotumia line moja ni bei gani? Simu ni huawei Y330
 
IPhone 6 mtu nimeikota kwenye gari langu mute amesahau alikua anaenda chuo Nevada university mow nilikua tax driver sasses ina irock je utauweza

Ndio hiyo inawezekana fika ofisini
Au piga 0753177199
 
Back
Top Bottom