Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
- Thread starter
- #21
Simba inaweza kuvunja rekodi endapo itaweza kuchukua ubingwa wa ligi,mwaka huu itakuwa ni mara 4 mfululizo hamna timu imewai kufanya hivyo.Wazee wa maktaba mmeanza baada ya matumaini ya Ubingwa kuyeyuka taratibu
Yanga imewai kuchukua mara 3 mfululizo na simba mara 3.
Tusubiri maajabu ya kuvunja rekodi kwa simba.