Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 720
Nimejaribu kutafuta matawi ya ACT hapa Mwanza na Musoma baada ya mkutano MKUBWA sijaona hata Bendera, sijui wanatembea nayo kila mkoa!!??
Au ndio yale yale ya KIJANI??
Gari la kuchora kwenye udongo ndo umpe mwenzio?
Bavicha mmehamia kunywa mbege na viroba vyenu ndio maana akili zenu zinawatosha wenyewe
Huu uzi utaondolewa sasa hivi we subiri kuna Mods wana uswahiba na Zitto hawataki kusikia kijana wao akipewa za uso.
ZITTO alikuwa na karata kadhaa ambazo zingemuwezesha kusimama na kusumbua nchini lakini zote zimeenda off timing!
1- Karata ya udini yaani uislamu.hii karata imebuma kwa kuwa kuna UKAWA ambao umejumuisha waislamu na wakristu.
2-Karata ya ujiana nayo imebuma kwa kuwa ccm ina watia nia vijana na vikongwe.vijana kama kina makamba na mwigulu wameonesha uzaifu wa kutisha.
3-Karata ya usomi..hapa napo anagonga mwamba kwani chadema ina wasomi wa kufa mtu!
4-karata ya jinsia ...hapa zitto akaamua kumuweka mwanamke kama mwenyekiti wa ACT lakini bado watanzania hawajakubali kuongozwa na mwanamke hata Tibaijuka kachinjiwa baharini.
5-karata ya ufisadi...hapa zitto kakutana na lowassa ambaye anajitahidi kuiondoa turufu hii kama kigezo huku Dr slaa akisimama kama icon ya kuupinga ufisadi.
6-karata ya ukanda...hii nayo imegoma kwani lowassa ni kanda ya kaskazini na zitto hataki kuwaudhi wanaccm wa kanda ya kaskazini.
7-Zitto alitaka kuondoka chadema na kundi kubwa la wanachama na viongozi ...hili nalo likagoma.
8-Karata ya escrow...sifa zimeenda kwa tumbili halafu zitto alichemsha sana alipotaka kukubali mapendekezo ya adhabu yaliyotolewa na mtuhumiwa ...nyoka mwenye makengeza....Ati zitto alikiri uchovu!!!
Umri wangu hauniruhusu kuwa bavicha
Hapa, yeye na ACT yake wamejipambanua kuwa wao ni wa kanda ya Magharibi- Kigoma...6-karata ya ukanda...hii nayo imegoma kwani lowassa ni kanda ya kaskazini na zitto hataki kuwaudhi wanaccm wa kanda ya kaskazini.!
ZITTO alikuwa na karata kadhaa ambazo zingemuwezesha kusimama na kusumbua nchini lakini zote zimeenda off timing!
1- Karata ya udini yaani uislamu.hii karata imebuma kwa kuwa kuna UKAWA ambao umejumuisha waislamu na wakristu.
2-Karata ya ujiana nayo imebuma kwa kuwa ccm ina watia nia vijana na vikongwe.vijana kama kina makamba na mwigulu wameonesha uzaifu wa kutisha.
3-Karata ya usomi..hapa napo anagonga mwamba kwani chadema ina wasomi wa kufa mtu!
4-karata ya jinsia ...hapa zitto akaamua kumuweka mwanamke kama mwenyekiti wa ACT lakini bado watanzania hawajakubali kuongozwa na mwanamke hata Tibaijuka kachinjiwa baharini.
5-karata ya ufisadi...hapa zitto kakutana na lowassa ambaye anajitahidi kuiondoa turufu hii kama kigezo huku Dr slaa akisimama kama icon ya kuupinga ufisadi.
6-karata ya ukanda...hii nayo imegoma kwani lowassa ni kanda ya kaskazini na zitto hataki kuwaudhi wanaccm wa kanda ya kaskazini.
7-Zitto alitaka kuondoka chadema na kundi kubwa la wanachama na viongozi ...hili nalo likagoma.
8-Karata ya escrow...sifa zimeenda kwa tumbili halafu zitto alichemsha sana alipotaka kukubali mapendekezo ya adhabu yaliyotolewa na mtuhumiwa ...nyoka mwenye makengeza....Ati zitto alikiri uchovu!!!
Mkuu heshima kwako, nimeku PM naomba majibu
Moja kat ya mada mbovu nilizowahi kuzisoma...huenda hii mada ikawa imeanzishwa na shoga.
ZITTO alikuwa na karata kadhaa ambazo zingemuwezesha kusimama na kusumbua nchini lakini zote zimeenda off timing!
1- Karata ya udini yaani uislamu.hii karata imebuma kwa kuwa kuna UKAWA ambao umejumuisha waislamu na wakristu.
2-Karata ya ujiana nayo imebuma kwa kuwa ccm ina watia nia vijana na vikongwe.vijana kama kina makamba na mwigulu wameonesha uzaifu wa kutisha.
3-Karata ya usomi..hapa napo anagonga mwamba kwani chadema ina wasomi wa kufa mtu!
4-karata ya jinsia ...hapa zitto akaamua kumuweka mwanamke kama mwenyekiti wa ACT lakini bado watanzania hawajakubali kuongozwa na mwanamke hata Tibaijuka kachinjiwa baharini.
5-karata ya ufisadi...hapa zitto kakutana na lowassa ambaye anajitahidi kuiondoa turufu hii kama kigezo huku Dr slaa akisimama kama icon ya kuupinga ufisadi.
6-karata ya ukanda...hii nayo imegoma kwani lowassa ni kanda ya kaskazini na zitto hataki kuwaudhi wanaccm wa kanda ya kaskazini.
7-Zitto alitaka kuondoka chadema na kundi kubwa la wanachama na viongozi ...hili nalo likagoma.
8-Karata ya escrow...sifa zimeenda kwa tumbili halafu zitto alichemsha sana alipotaka kukubali mapendekezo ya adhabu yaliyotolewa na mtuhumiwa ...nyoka mwenye makengeza....Ati zitto alikiri uchovu!!!
9-Karata ya mabilioni ya uswiz alitumika kuuzima mjadala badala ya kututajia majina.
ZITTO alikuwa na karata kadhaa ambazo zingemuwezesha kusimama na kusumbua nchini lakini zote zimeenda off timing!
1- Karata ya udini yaani uislamu.hii karata imebuma kwa kuwa kuna UKAWA ambao umejumuisha waislamu na wakristu.
2-Karata ya ujiana nayo imebuma kwa kuwa ccm ina watia nia vijana na vikongwe.vijana kama kina makamba na mwigulu wameonesha uzaifu wa kutisha.
3-Karata ya usomi..hapa napo anagonga mwamba kwani chadema ina wasomi wa kufa mtu!
4-karata ya jinsia ...hapa zitto akaamua kumuweka mwanamke kama mwenyekiti wa ACT lakini bado watanzania hawajakubali kuongozwa na mwanamke hata Tibaijuka kachinjiwa baharini.
5-karata ya ufisadi...hapa zitto kakutana na lowassa ambaye anajitahidi kuiondoa turufu hii kama kigezo huku Dr slaa akisimama kama icon ya kuupinga ufisadi.
6-karata ya ukanda...hii nayo imegoma kwani lowassa ni kanda ya kaskazini na zitto hataki kuwaudhi wanaccm wa kanda ya kaskazini.
7-Zitto alitaka kuondoka chadema na kundi kubwa la wanachama na viongozi ...hili nalo likagoma.
8-Karata ya escrow...sifa zimeenda kwa tumbili halafu zitto alichemsha sana alipotaka kukubali mapendekezo ya adhabu yaliyotolewa na mtuhumiwa ...nyoka mwenye makengeza....Ati zitto alikiri uchovu!!!
9-Karata ya mabilioni ya uswiz alitumika kuuzima mjadala badala ya kututajia majina.