Karata za Zitto zimebuma!

Nimejaribu kutafuta matawi ya ACT hapa Mwanza na Musoma baada ya mkutano MKUBWA sijaona hata Bendera, sijui wanatembea nayo kila mkoa!!??
Au ndio yale yale ya KIJANI??

Juzi SIMIYU kumedoda. Hata Mwalimu Kaijage hajaonekana mpka Leo.
 
Huu uzi utaondolewa sasa hivi we subiri kuna Mods wana uswahiba na Zitto hawataki kusikia kijana wao akipewa za uso.
 
Bavicha mmehamia kunywa mbege na viroba vyenu ndio maana akili zenu zinawatosha wenyewe

Nyinyi Lumumba ndio wapumbavu. Mkitumwa munakuwa km Misukule hamuwezi kufikiria. Yaan siku hizi Mmeacha kusapot CCM mmehamia Act kwa Muda cos mmetumwa. Misukule ikitumwa huwa haihoji. Afande Sele aliimba inapelekwapelekwa km Mingombe.
 
ya udini haijabuma,hadi sasa ndio inayombeba lakini kwa wanachama wa ccm.
 
lazima uzi huu uondolewe. jf imeshawekwa mifukoni mwa jf. siku hizi hawako kwa ajili ya umma bali wapo kwa ajili ya uma. vitambi vitawaua.
 
yeah mleta uzi amejadili vizur sana kwa kifupi siasa za kibaguzi hazina nafasi mara kaskazini mara wachaga, hayo yanaonesha udhaifu w akiweledi na udhaifu wa wanachama
 

Mkuu heshima kwako, nimeku PM naomba majibu
 
6-karata ya ukanda...hii nayo imegoma kwani lowassa ni kanda ya kaskazini na zitto hataki kuwaudhi wanaccm wa kanda ya kaskazini.!
Hapa, yeye na ACT yake wamejipambanua kuwa wao ni wa kanda ya Magharibi- Kigoma...
 

hizo ulizoandika hapo ni mambo ambayo chadema wameshindwa kuna karata moja umeisahau karata ya kuhonga chadema sasa wanahonga watu so wamekua kama ccm tu......!
 
Kila kitu cha msaliti ZZK kitabuma hata demu wake hayuko naye vizuri kwa sasa, USALITI ni hatari
 
Who is ZZK? ninachoamini mimi hadi leo, ni kwamba, ukihama chadema au ukisaliti chadema basi wewe utakuwa umishajifia kisiasa...ndo mwisho wako wa kuvuma hivyo...ZZK anaelekea huko...
 
Moja kat ya mada mbovu nilizowahi kuzisoma...huenda hii mada ikawa imeanzishwa na shoga.
 
ACT Wasaliti hawana nafasi nchini kwetu. Nendeni mkafunge ndoa na ccm
 

Wanachadema mpaka wanatia huruma?
 

Kumbe udini ni Uislam? kwa maana nyingine waislam ndio wadini!
Au kufuata kwa dini ndio udini wenyewe? Lakini kama ni hivyo mbona wengine wengi hawafuati? Akiwemo huyo Zitto mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…