kula kichwa mwana ila ukikamatwa mm simo
Kama mdada analipa, Nenda kapige mambo wewe,
mme mme nini,atapat mwingine anayempenda so huyo dada acha apate anachopenda bila kufungwa asikoona raha ya maisha,
Kaaazi kweli kweli,HARAMU zote ndio tamu...kama vipi nenda kapige gemu ila legeza mziki ili maneno yake ya kuwa huwezi yatimie ili asikusumbue tena kijana..Ila kama nawewe unataka,sema tu na sio kuomba ushauri wakati majibu tayari unayo..
Hahahahaha ........ ningekugongea mkuu! sema vidude vy senks hapa kwangu cvioni.afu unaweza kuta huyo mdada ni mke wa mwana JF hapa,afu huyo mwana JF bila kujua anakushauri we piga tu dogo Hahaaaaaaaaaaaa...Me nasema hivi we piga kijana (sijaoa infact)
Bora umechukua uamuzi wa maana!<br /><br />
<br /><br />
wana jf nashukuru sana kwa michango yenu coz msimamo wangu ilikuwa nimpotezee, akazid kunizongazonga, inafika point ananiambia siwez kumdu mpaka alie, nikafikir anachezea chuma chakavu ngoja nimpatitie anacholilia ili aniheshim, ila ninapofikiria kuwa ni mke wa m2 ndo moyo unasita. Ila nimekata shaur potelea mbal anione mi ***** tu nampotezea, bora niendelee na maisha yangu nikiwa na furaha kuliko starehe ya 5-6hr inifanye nikose aman maishan' nyama ni ile ile ila butcher tu tofauti'
Hata vya "like" huvioni?? Ahahahaah!Hahahahaha ........ ningekugongea mkuu! sema vidude vy senks hapa kwangu cvioni.
kuna mdada tupo nae ofis moja , yy kaolewa mi sijaoa na sina mchumba wa kueleweka, YY kila wakati huwa anataka amfaham mchumba wangu, ila kwa sababu tunaheshimiana nilimwambia ukweli sina mchumba wa uhakika, ila kuna mahali huwa nazjipooza hali ikiwa mbaya.Haikuwa taabu ila sasa hiv kaja kivingine mara ananiambia mi mtoto mdogo sana siwez mambo hata akinipa nitachemsha mi nikafikir ni masihara, ila sasa hiv anataka kabisa nikampe majamboz, sasa nifanyeje? niuchune au nimwonyeshe kuwa mi ni kijogoo?wana jf naomben mchango wenu
Mi ndio maana nasemaga siku zoote cheating inaanziaga kwenye utani. Mambo ya ooh tunatanianaga. Mmeona huu ni mfano live.
Achana naye kuna wadada wengine ni ovyo wanataka wawaharibie wengine maisha.Mwambie atafute mtu aliyeoa ili wote wawe wanaibana,kama hataridhika mwambie mkaombe ruhusa kwa mmewe.kuna mdada tupo nae ofis moja , yy kaolewa mi sijaoa na sina mchumba wa kueleweka, YY kila wakati huwa anataka amfaham mchumba wangu, ila kwa sababu tunaheshimiana nilimwambia ukweli sina mchumba wa uhakika, ila kuna mahali huwa nazjipooza hali ikiwa mbaya.Haikuwa taabu ila sasa hiv kaja kivingine mara ananiambia mi mtoto mdogo sana siwez mambo hata akinipa nitachemsha mi nikafikir ni masihara, ila sasa hiv anataka kabisa nikampe majamboz, sasa nifanyeje? niuchune au nimwonyeshe kuwa mi ni kijogoo?wana jf naomben mchango wenu
kuna mdada tupo nae ofis moja , yy kaolewa mi sijaoa na sina mchumba wa kueleweka, YY kila wakati huwa anataka amfaham mchumba wangu, ila kwa sababu tunaheshimiana nilimwambia ukweli sina mchumba wa uhakika, ila kuna mahali huwa nazjipooza hali ikiwa mbaya.Haikuwa taabu ila sasa hiv kaja kivingine mara ananiambia mi mtoto mdogo sana siwez mambo hata akinipa nitachemsha mi nikafikir ni masihara, ila sasa hiv anataka kabisa nikampe majamboz, sasa nifanyeje? niuchune au nimwonyeshe kuwa mi ni kijogoo?wana jf naomben mchango wenu
kuna mdada tupo nae ofis moja , yy kaolewa mi sijaoa na sina mchumba wa kueleweka, YY kila wakati huwa anataka amfaham mchumba wangu, ila kwa sababu tunaheshimiana nilimwambia ukweli sina mchumba wa uhakika, ila kuna mahali huwa nazjipooza hali ikiwa mbaya.Haikuwa taabu ila sasa hiv kaja kivingine mara ananiambia mi mtoto mdogo sana siwez mambo hata akinipa nitachemsha mi nikafikir ni masihara, ila sasa hiv anataka kabisa nikampe majamboz, sasa nifanyeje? niuchune au nimwonyeshe kuwa mi ni kijogoo?wana jf naomben mchango wenu