Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewapa majia ya Kiganda nyota maarufu kutoka Marekani Kanye West pamoja na Mpenzi wake Kim Kardashian
> Kanye West amepewa jina la Kanyesigye lenye maana ya Nina amini huku Kim akipewa jina la Kemigisha linalomaanisha 'aliyebarikiwa na Mungu'
> Museveni amewaambia kuwa nchi ya Uganda ni kwaajili ya watu wote duniani na wajisikie wako nyumbani
======
Ugandan President Yoweri Museveni's office says he has given US rapper Kanye West, who changed his name to Ye last month, the Ugandan name Kanyesigye, which means "Ï trust".
Mr Museveni has also given the rapper's wife, Kim Kardashian, the name Kemigisha, which means "the one with blessings from God", his office added in a Facebook post.
The couple were "excited" by the names given to them by the president when he met them at State House earlier today, his office said. Mr Museveni told the couple that Uganda is for all.
“This is the source of human life, even the whites originally came from here,” the president is quoted by his office as saying.
The US rapper said he was happy to be in Uganda, which he described as his second home, according to Mr Museveni's office.