Kanusha kwamba CCM si wezi

Hivi mbona karibu kwenye kila scandal Anduru Chenga anahusika?

Huyo ni master wa maadili yote ndo anayejua michango yote ya na jinsi ya kuandaa nyaraka feki
CONSULTATION fees 1 usd ~1.6b
 
Huo ni upotoshaji kwakuwa haujui nini mamaana ya ccm. CCM ni mimi na mwingine sasa huu wizi unanihusuje mimi wa chini? Naamini CCM chama imara
 
kanunusha kuwa ccm imejenga barabara mahospitali madaraja na nk

Zimejengwa na makandarasi na mafundi na fedha zilizotumika ni za walipa kodi sio za CCM. Nadhani umeelewa sasa.
 
Acheni kujidanganya.

Kweli sasa umechanganyikiwa kabisa. Wizi wa mccm unaendelezwa na katiba inayotawala sasa na ufisadi utakuwa mkubwa zaidi kama katiba pendekezwa ya mccm itapita.
 
Sio wezi, wanaanda tuu wadanganyika kujitambua, mkitaka kujua ni wezi wachagueni tena 2015.


Sio wezi jamani,hawa ni majambazi sugu ati.2015 mkiwarudisha msishangae wataanza kuvamia/kuvunja nyumba zetu maana hawana cha kuiba tena sababu serikali inafilisika
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…