Kama ingekuwa kila mnalokomalia linazaa matunda ingeleta maana. Hiki kizazi kimekuwa cha ovyo, umbea, upashkuna ndo imekuwa kazi.Jana imeonekana barua ya KKKT kila MTU kahamishia akili zake zote hapo hapo?,na bado mnalalamika maendeleo hayaji. Hakuna watu wanafiki duniani Kama asilimia fulani ya watanzania ninaowaona humu.Wanashinda wanatafuta tweet za watu, nukuu za Sitta za enzi zile wazilete humu, hivi kwa style hii tutaweza kutengeneza toothpick?.. Ndo maana huwa naombea JPM aendelee kukaza mpaka watu akili ziwarudie, zisipowarudia waendelee kulalama mpaka kiama na vizazi vyao vya ulalamishi mitandaoni.
Toka hapa kafanye kazi kijana umri unakutupa mkono, hii mitandao huko Africa mmeletewa kupumbazwa akili.Ona unavyoshinda unajibizana na watu huwajui?,. Umewahi jiuliza pengine unajibizana na wastaafu wanakula pensheni wewe ukijipotezea muda tu?.. It will take another 100 years for Africa to be where Europe was by 1980.Dongo limepenya sehemu yake.
We mwenyewe hapa unapoteza muda tu kujibizana! Au we hutumii muda?Toka hapa kafanye kazi kijana umri unakutupa mkono, hii mitandao huko Africa mmeletewa kupumbazwa akili.Ona unavyoshinda unajibizana na watu huwajui?,. Umewahi jiuliza pengine unajibizana na wastaafu wanakula pensheni wewe ukijipotezea muda tu?.. It will take another 100 years for Africa to where Europe was by 1980.
Mkuu mi nipo duniani huku nakula mafao, Kama tupo kundi moja sawa, ila Kama sio unapoteza muda wako mwingi bure hapa.Hamuwezi badilisha kitu serikalini kupitia Jamii Forums.Hapa mnapiga umbea tu na kupoteza muda wenu bure.We mwenyewe hapa unapoteza muda tu kujibizana! Au we hutumii muda?
Wewe ulitaka watu wasilalamikie maovu ya viongozi wafanyeje sasa? wafanye kama Somalia? kwamba kila akoseaye asilalamikiwe bali atunguliwe? mbona una mawazo mabaya hivyo?Kama ingekuwa kila mnalokomalia linazaa matunda ingeleta maana. Hiki kizazi kimekuwa cha ovyo, umbea, upashkuna ndo imekuwa kazi.Jana imeonekana barua ya KKKT kila MTU kahamishia akili zake zote hapo hapo?,na bado mnalalamika maendeleo hayaji. Hakuna watu wanafiki duniani Kama asilimia fulani ya watanzania ninaowaona humu.Wanashinda wanatafuta tweet za watu, nukuu za Sitta za enzi zile wazilete humu, hivi kwa style hii tutaweza kutengeneza toothpick?.. Ndo maana huwa naombea JPM aendelee kukaza mpaka watu akili ziwarudie, zisipowarudia waendelee kulalama mpaka kiama na vizazi vyao vya ulalamishi mitandaoni.
Huyu mzee ndiye alituchafulia katiba mpya kwa njia ya amani, sipendi hata kumsikiaAliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Marehemu Samuel Sitta alipata kunena na kulitia moyo kanisa kuendelea kukemea maovu hata kama yanatendwa na serikali...View attachment 796485
Naona atakayerudiwa na akili hapa ni JPM.Kama ingekuwa kila mnalokomalia linazaa matunda ingeleta maana. Hiki kizazi kimekuwa cha ovyo, umbea, upashkuna ndo imekuwa kazi.Jana imeonekana barua ya KKKT kila MTU kahamishia akili zake zote hapo hapo?,na bado mnalalamika maendeleo hayaji. Hakuna watu wanafiki duniani Kama asilimia fulani ya watanzania ninaowaona humu.Wanashinda wanatafuta tweet za watu, nukuu za Sitta za enzi zile wazilete humu, hivi kwa style hii tutaweza kutengeneza toothpick?.. Ndo maana huwa naombea JPM aendelee kukaza mpaka watu akili ziwarudie, zisipowarudia waendelee kulalama mpaka kiama na vizazi vyao vya ulalamishi mitandaoni.
Naona atakayerudiwa na akili hapa ni JPM.
Wewe Mbona unajibizana nae,kwani unamjua.Toka hapa kafanye kazi kijana umri unakutupa mkono, hii mitandao huko Africa mmeletewa kupumbazwa akili.Ona unavyoshinda unajibizana na watu huwajui?,. Umewahi jiuliza pengine unajibizana na wastaafu wanakula pensheni wewe ukijipotezea muda tu?.. It will take another 100 years for Africa to be where Europe was by 1980.
Mkuu unaona mbali sana,kuna genge kazi yao ni kutafuta vitweet vya wanasiasa na kufsnya agenda.Hii nchi haiwez endelea kwa aina hii ya watuKama ingekuwa kila mnalokomalia linazaa matunda ingeleta maana. Hiki kizazi kimekuwa cha ovyo, umbea, upashkuna ndo imekuwa kazi.Jana imeonekana barua ya KKKT kila MTU kahamishia akili zake zote hapo hapo?,na bado mnalalamika maendeleo hayaji. Hakuna watu wanafiki duniani Kama asilimia fulani ya watanzania ninaowaona humu.Wanashinda wanatafuta tweet za watu, nukuu za Sitta za enzi zile wazilete humu, hivi kwa style hii tutaweza kutengeneza toothpick?.. Ndo maana huwa naombea JPM aendelee kukaza mpaka watu akili ziwarudie, zisipowarudia waendelee kulalama mpaka kiama na vizazi vyao vya ulalamishi mitandaoni.
Weeeee thubutu.Wekeni na nukuu za Viongozi wenu wa Chadema walivyokuwa wakimtukana na kumdhihaki Mzee Lowasa pale mwembeyanga na Tanzania nzima.
Watanzania sisi ni wanafiki sana mpaka inatia KINYAA.
Na nyie muweke za kwenu mulivyokuwa Muna mtetea hadi mate yanawatoka ili tupime nani mnafiki zaidiWekeni na nukuu za Viongozi wenu wa Chadema walivyokuwa wakimtukana na kumdhihaki Mzee Lowasa pale mwembeyanga na Tanzania nzima.
Watanzania sisi ni wanafiki sana mpaka inatia KINYAA.
NENOKama ingekuwa kila mnalokomalia linazaa matunda ingeleta maana. Hiki kizazi kimekuwa cha ovyo, umbea, upashkuna ndo imekuwa kazi.Jana imeonekana barua ya KKKT kila MTU kahamishia akili zake zote hapo hapo?,na bado mnalalamika maendeleo hayaji. Hakuna watu wanafiki duniani Kama asilimia fulani ya watanzania ninaowaona humu.Wanashinda wanatafuta tweet za watu, nukuu za Sitta za enzi zile wazilete humu, hivi kwa style hii tutaweza kutengeneza toothpick?.. Ndo maana huwa naombea JPM aendelee kukaza mpaka watu akili ziwarudie, zisipowarudia waendelee kulalama mpaka kiama na vizazi vyao vya ulalamishi mitandaoni.
Siyo watanzania bali ni hao wafuasi flani walioamua kujitoa fahamu!Wekeni na nukuu za Viongozi wenu wa Chadema walivyokuwa wakimtukana na kumdhihaki Mzee Lowasa pale mwembeyanga na Tanzania nzima.
Watanzania sisi ni wanafiki sana mpaka inatia KINYAA.
Wewe Mbona unajibizana nae,kwani unamjua.
Yaani wewe ni bure kabisa,kama ni mtoto unabadilishana na debe la Mahindi Walah
Toka hapa kafanye kazi kijana umri unakutupa mkono, hii mitandao huko Africa mmeletewa kupumbazwa akili.Ona unavyoshinda unajibizana na watu huwajui?,. Umewahi jiuliza pengine unajibizana na wastaafu wanakula pensheni wewe ukijipotezea muda tu?.. It will take another 100 years for Africa to be where Europe was by 1980.