johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Kanisa Katoliki na KKKT wameishia tu kusema waliomba kukutana na Rais Samia naye akawakubalia na wakakutana naye
Kanisa linasema walimpa Rais Samia Ushauri wao. Kanisa halisemi walimpa ushauri gani kana kwamba hiyo ni bonge la Siri
Mimi najiuliza mbona DP World na Bandari Mkataba Wao uko Hadharani sasa Kwanini Ushauri wa Viongozi wa Dini uwe SIRI?
Haya mambo ni Sawa na yale Maridhiano ya CHADEMA na CCM yaliyoanza Sirini na yamefia Sirini
Nawatakia Jumanne yenye baraka 😄
Kanisa linasema walimpa Rais Samia Ushauri wao. Kanisa halisemi walimpa ushauri gani kana kwamba hiyo ni bonge la Siri
Mimi najiuliza mbona DP World na Bandari Mkataba Wao uko Hadharani sasa Kwanini Ushauri wa Viongozi wa Dini uwe SIRI?
Haya mambo ni Sawa na yale Maridhiano ya CHADEMA na CCM yaliyoanza Sirini na yamefia Sirini
Nawatakia Jumanne yenye baraka 😄