Kanisa jipya, laja na ubatizo wa viboko

Rais2020

JF-Expert Member
Jul 14, 2016
3,248
5,537
Duniani kote, wapagani ni waelewa sana kuliko wafia dini. Wafia dini wengi wao ni mbumbumbu maana kila wakiambiwa jambo na mchungaji wao basi hufanya bila kupinga. Moja ya mambo hayo ni pamoja na kuamrishwa either kutoa pesa/sadaka kubwa beyond their capacities na mengine mengi. Katika hali ya kustaajibisha waumini wa kanisa hili hubatizwa sio kwa maji Bali kwa viboko. Yaani badala ya kumwagiwa maji unatwishwa bonge la kiboko. Jionee mwenyewe kwenye video hapo chini.

Mengine haya hapa. Mchungaji awataka waumini wavue nguo kisha wajichue ili wapokee baraka.

AFRIKA KUSINI : Nabii awanywesha waumini kemikali ya kusafishia injini, adai inaponya.

Mchungaji awanywesha waumini dawa ya kuua bacteria(dettol)

ZIMBABWE: Nabii awauzia waumini matango, adai yana upako
b3c54d1571a7f6cedc35fcda1dcf5a08.jpg


Ukipitia hizi thread utagundua kuwa wafia dini ni wajinga kuliko wapagani. Mpagani hawezi kufanya huu upuuzi. Wengi wa wafia dini ni wasomi na wenye pesa zao na wachache wasio na pesa za kutosha. Angalia magari yanavojazana maeneo ya makanisa siku za ibada.

Waumini na wafia dini mbadilike. Wenzen wanatajirika nyinyi mnaishiwa hata kile kidogo mlicho nacho.
 
Mbona video yenyewe haioneshi kama ni kiboko kama mleta uzi alivyonadi?
 
Chakushangaza zaidi ni ngozi nyeusi..hivi sisi tuna matatizo gani..kuna jamaa alisema Africa's are cursed race..nazidi kumuamini..
 
~20 min ago
~7 replies
~104 views

njooni mseme na huku maana jazba zinavyowapanda na kejeli zenu na mnavyojuwa kuhukumu.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Chakushangaza zaidi ni ngozi nyeusi..hivi sisi tuna matatizo gani..kuna jamaa alisema Africa's are cursed race..nazidi kumuamini..
Ya wazungu huyaoni au basi tu? huko si ndiyo watu wanafanya ibada kanisani wakiwa uchi.
 
Acha wafu wawazike wafu wao

Watu mtadhani mnamiliki dini zilizo sahihi kwa kiherehere cha kukosoa kila kitu
 
Mkuu una maanisha watu gani hao???
wapo wanaopenda kuhukumu wenzio sababu ya upungufu wa kibinadamu na kujiona dini zao ndizo zimekamilika, japo vinafanyika vitu kama hivi ingekuwa upande wa pili looh!

ingekuwa hivi.

~1 min ago
~30 replies
~50 views

mpaka dk. 20 tungekuwa page zaidi ya ishirini
 
wapo wanaopenda kuhukumu wenzio sababu ya upungufu wa kibinadamu na kujiona dini zao ndizo zimekamilika, japo vinafanyika vitu kama hivi ingekuwa upande wa pili looh!

ingekuwa hivi.

~1 min ago
~30 replies
~50 views

mpaka dk. 20 saver is full
Mkuu bnafsi huwa sipendi kubeza dini za watu. Mimi ni mkristo na hao ni wakristo pia lakini kuna madhehebu uchwara mengi sana yanafanya mambo ambayo kiukweli yesu akirudi Leo sijui itakuwaje. Am proud of being mkatoliki.
 
Wote huko wahanga wakubwa ni Wanawake.
Na sijui why wanawake???? Nimefuatilia sana pia hawa bosses wengi na wasomi wengi ndo wanaongoza kuwa wafia dini wasiojiuliza maswali ya msingi juu ya mwenendo wa kanisa huska na mhungaji wao
 
Ngoja wafu wazikane tena watandikwe kabisa bakora wajutie dhambi zao devil at work.
 
Back
Top Bottom