Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 739
Shukrani mkuu!!! Tuko pamojaThnx kwa kutufahamisha, ubarkiwe
Amina kiongoziDuuuh, kanisa mtoto hilo. Asante ndugu kwa kutujulisha. Ubarikiwe.
Walipo wawili au watatu na Mimi nipoLengo lake ni nini?
Mkuu kwani hujui jukumu la kanisa ni niniLengo lake ni nini?
Eti anauliza lengo lake ni nini huyu jamaa atakuwa mpagani si bureWalipo wawili au watatu na Mimi nipo
Soma vizuri bible kabla ya kuanza kuniita mpagani, Mimi ni mkristo mlutheri, hata leo nilikuwepo ibadani hapa USHARIKA WA NJIRO. Kanisa ambalo haliongezi waumini hilo sio kanisa bali ni kijiwe cha kupigia porojo!Mkuu kwani hujui jukumu la kanisa ni nini
Hili ndo kanisa dogo a mwaka 1989. "God is present in everywhere and jesus was said If two or three of you gather together, I am there"
Inawezekana mkuu wana waumini wengi ila kwa upande wa ibada huenda wana ibada nyingi mfano ibada ya 1,2......Soma vizuri bible kabla ya kuanza kuniita mpagani, Mimi ni mkristo mlutheri, hata leo nilikuwepo ibadani hapa USHARIKA WA NJIRO. Kanisa ambalo haliongezi waumini hilo sio kanisa bali ni kijiwe cha kupigia porojo!
Kwahiyo kila ibada ina waumini watatu?Inawezekana mkuu wana waumini wengi ila kwa upande wa ibada huenda wana ibada nyingi mfano ibada ya 1,2......
NdioKwahiyo kila ibada ina waumini watatu?
Nafkiri havipo mkuuHapo hawana mafuta,sabuni,maji na vitambaa vya kuuza?