Kaninunia

Kaninunia

Jana nilitongoza mke wa jirani hapa tulipopanga leo kanipita bila kusalimia hapa nilipo kichwa kinawaka sijui kamwambia jamaa? Akijua itakua mbaya kwa maana tunaheshimiana sana.
Nyege mbaya sana
Yeye ndiye anakuheshimu wewe una act kumheshimu ila humweshimu. So acha kutumia neno la kwamba mnaheshimiana wakati umemtongoza mkewe.
 
Yeye ndiye anakuheshimu wewe una act kumheshimu ila humweshimu. So acha kutumia neno la kwamba mnaheshimiana wakati umemtongoza mkewe.
Tunaheshimiana mkuu na tunasaidiana katika shida na raha
 
Jana nilitongoza mke wa jirani hapa tulipopanga leo kanipita bila kusalimia hapa nilipo kichwa kinawaka sijui kamwambia jamaa? Akijua itakua mbaya kwa maana tunaheshimiana sana.
Nyege mbaya sana
alie nuna ni jamaa au mke wake ambae unae mmendea?

wanasiasa wengi wanasingizia kutekwa kumbe wamefumaniwa baada ya kumendea wake za watu kama wewe, dah!

tamaa kwa wake za watu ni kitu kibaya sana aise 🐒
 
Kuna mwamba katongoza mke wa msela wangu, sasa chali katupa stori kuwa yeye anatext na huyo kicheche wa mkewe.

Kesho amepanga nae wakutane maeneo sasa hapa tupo vidume 5 tunakula karanga,alkasusi na vumbi la Shaba.

Tushanunua KY na condom tayari, ukitaka kula vya watu na chako kuwa tayari kuliwa😋
 
Back
Top Bottom