We acha tu!Kwahiyo utaninunulia?Ha ha ha! ! ! Sasa hivi natia pili pili na Green Salad,njoo bwana.....Acha hizo chipsi mimi nitakuongezea tupate hii kitu.
Kweli unapenda,usingizi umepotea.Naona umekuwa active mbaya!
We acha tu!Kwahiyo utaninunulia?
Ha ha hah ha,sorry nilikua kule jukwa la Siasa.nina ugomvi kule,lol
Eeh..wewe tena?njoo basi huku!
Thread za kujikweza mpaka lini? Sasa umeshajulikana wewe ni muhuni then wat next?? Af hata uandishi wako waonesha majigambo c unashida au kwamba unaitaji msaada kama unavodai.Team..hop mpo salama.nina uhusiano na bnt takrban miaka mi3..nimemsoma na kila niktaka kuamua nimuoe roho ikasita,hasa baada ya kumshrkisha Mungu..nikafanikiwa kuanzsha Uhusiano mwngne pemben lakn kbl cjalala nae nikaamua kumpa ukwel bnt kua cpo tyr kuish nae kwa sababu za msingi...bas bnt ndo bif likaanza,akatafuta namba ya bnt mpya,akampa maneno meng sn ya uongo na ukwel...akadai ameamua 2kose wte..bnt mpya nimeongea nae ila ni mpole na anadai hayupo tyr kulumbana au kugombea mme...anampgia kwa cku mara 5 kumkanya bnt mpya anipge chn...nimechanganyikiwa....mi pia cpend maugomv am so down yani...niache wth my lyf if ur here,peacefuly
Team..hop mpo salama.nina uhusiano na bnt takrban miaka mi3..nimemsoma na kila niktaka kuamua nimuoe roho ikasita,hasa baada ya kumshrkisha Mungu..nikafanikiwa kuanzsha Uhusiano mwngne pemben lakn kbl cjalala nae nikaamua kumpa ukwel bnt kua cpo tyr kuish nae kwa sababu za msingi...bas bnt ndo bif likaanza,akatafuta namba ya bnt mpya,akampa maneno meng sn ya uongo na ukwel...akadai ameamua 2kose wte..bnt mpya nimeongea nae ila ni mpole na anadai hayupo tyr kulumbana au kugombea mme...anampgia kwa cku mara 5 kumkanya bnt mpya anipge chn...nimechanganyikiwa....mi pia cpend maugomv am so down yani...niache wth my lyf if ur here,peacefuly
rekebisha heading isomeke "sijatulia" au at least "nimejiharibia". Ushauri baadae
Hawawezi
Wewe si unakataa kuja,au unaogopa kurudi peke yako.
Nimeona tuendelee kutamanishana kwa sababu mwenye thread kakaa kimya,sisi tumejenga kibanda!loh
Mmmh!Ngoja nilale kikweli kweli sasa!
Sijaacha hebu andika hivi "Kaniharibia na sio kaniaribia" Nitarudi
Mkonowapaka;1816689]Hakuna cha ajabu sn au jipya...km umenielewa vzur ckua nimeanza mapenz na msichana wa pili..na am very systematic kwny maamuz yangu.nimemuacha kihalal na mctake kunihuku.cha mcng apa why hatak kukubal stuation kwmb simuhtaji..na aheshmu uhusiano wngu mpya.cmpo.by tha way She is nt yf material enaf kwangu.
Kazi kweli kweli, huko tunako kwenda Kiswahili kitapotea.
Hivi inamaana kiswahili haujui au ndo mambo ya kubana pua mtoto wa kiume? Una umri gani kijana, isije ukawa under age ukawa uanomba ushauri hapa?
Dena kwa hilo tuko pamoja, waswahili hawahujui kiswahili na wala hawataki kujifunza kila kukicha ni makosa tu, kaniaribia ndo nini sasa.
Uandishi wa aina hiyo unaniuuuuuuuudh!! Basi tu.