Kaniacha bila sababu

Pole kwa kuachwa, muulize tuu kiungwana sababu za kukuacha kupitia hizo sababu utajifunza ili ukiwa na mwingne usije ukarudia hayo makosa.
 
Kwahiyo jombaa ulizani ukishafupia tu ndo basi tena unavuliwa kale kanguo kadogo dogo ka ndani, au?!!
 
Hahahahahaha lol!!!! Heshima zako Mkuu tpaul.

mkuu BAK nipo ila majukumu ya kitaifa yamenitinga mno, ndio maana nimeadimika mkuu. pamoja sana.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Mkuu tpaul yanayotuweka MUJINI kwa raha zetu siku zote yanastahili kupewa priority. Kila la heri Mkuu katika majukumu yako.

mkuu BAK nipo ila majukumu ya kitaifa yamenitinga mno, ndio maana nimeadimika mkuu. pamoja sana.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo we ulijuwa ukitoa pesa tu tayari ndo unavuliwa pichu?!
 
Kama ni binti yule wa miaka 17 kakuacha si uendelee na mama yake??
Na hiyo kazi yako ya kusambaza mzigo ina hela ya kuhongea kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…