Kani block social Media zote kisaa.....

Kani block social Media zote kisaa.....

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,124
Reaction score
1,451
Habari wakuu kuna demu mmoja hivi ni kama mshikaji wangu bana kumbe yule demu alikua ananizimia kinima noma sema ajawahi kunambia bana sasa siku ikipita sijamtumia text anaumia kinoma noma yaani ... akaona bora Tuu aniblock ili awe na Amani kwa maana akiniiona online halafu nisipomtext anaumia sana so akanona eti aniblock eti jamani kweli wanwake wana mabmbo ya ajabu sana ha ha h ah if you love someone tell him....
akadai anaipenda etii................................

Nimewasilisha.....
Na humu yumooo
 
Umejuaje kama anakupenda labda kaona hauna faida yoyote kwake?
 
Nje ya mada:

Hivi shule zote zitafunguliwa tarehe 8/7/2019 au ni za serikali tu?
 
Amini usiamini % nyingi ya wanaume hatuna ujanja mbele ya mwanamke akitutaka
 
Aseeee
Kwahiyo amekublock ndo unalialia hivo?
 
Habari wakuu kuna demu mmoja hivi ni kama mshikaji wangu bana kumbe yule demu alikua ananizimia kinima noma sema ajawahi kunambia bana sasa siku ikipita sijamtumia text anaumia kinoma noma yaani ... akaona bora Tuu aniblock ili awe na Amani kwa maana akiniiona online halafu nisipomtext anaumia sana so akanona eti aniblock eti jamani kweli wanwake wana mabmbo ya ajabu sana ha ha h ah if you love someone tell him....
akadai anaipenda etii................................

Nimewasilisha.....
Na humu yumooo

Vipi hajakublock mtaani mkikutana anageuka na kupita barabara nyingine ili asikuone?
 
Nashauri mods waanzishe jukwaa la under 18 au under 21
 
social media it's magazeti,redio stations, tv stations etc! kakublock vp huko?
 
Back
Top Bottom