nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,439
- 2,287
Heshima kwenu jf;
Leo tumeshudia mbwembwe nyingi sana wakati Mzee Lowasa akitangaza nia rasmi ya kuwania nafasi ya urais ndani ya ccm.
Mbunge wa mwibara kangi lugola anachukia mafisadi na kuunga mkono katiba ya wananchi yenye serikali 3, je? Lowasa yuko serikali tatu? Sijawahi kumsikia Lowasa katika hili swala zito la katiba akichangia, leo Arusha tumejifunza nguvu ya pesa inalitesa taifa.
Karibu kwa kuchangia;
Leo tumeshudia mbwembwe nyingi sana wakati Mzee Lowasa akitangaza nia rasmi ya kuwania nafasi ya urais ndani ya ccm.
Mbunge wa mwibara kangi lugola anachukia mafisadi na kuunga mkono katiba ya wananchi yenye serikali 3, je? Lowasa yuko serikali tatu? Sijawahi kumsikia Lowasa katika hili swala zito la katiba akichangia, leo Arusha tumejifunza nguvu ya pesa inalitesa taifa.
Karibu kwa kuchangia;