Please my Minister,kama unapitia humu JF ungejufunza mengi na bila shaka kazi yako ingekuwa rahisi zaidi,elewa Wizara yako ni moja ya security cluster ya nchi means ni wizara moja nyeti sana,kwa waziri wangu kukimbizana na bodaboda hata sikuelewi kabisa,hii kazi waachie maafisa wa polisi(traffic)wewe umetoa agizo its ok,mambo nyeti ya kufuatilia nchi yetu ni pamoja na kupambana na human trafficking(hii ni mbaya sana ndani ya nchi yetu),Drugs(nchi yetu ni moja ya transit kubwa ya drugs),money laundering its worse ndani ya nchi yetu,pia mshauri our no 1 aigawe hii wizara ya mambo ya ndani katika wizara mbili;wizara ya polisi(ulinzi na usalama wa raia) na wizara ya mambo ya ndani(uraia na uhamiaji),hii itarahisha utendaji wa kuwahudumia wananchi,hasa kwa kuhakikisha raia wote wana life books na wameandikishwa na kurekodiwa kwenye central data systems ya nchi.