Chilipamwao JF-Expert Member Nov 15, 2010 523 128 Nov 29, 2011 #1 Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Diwani wa kata ya Tunduma na Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi wamezuru eneo la soko lililoteketea vibaya kwa moto na kusababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kwa wakazi wa Tunduma. Attachments DSCN7129.JPG 90.1 KB · Views: 42 DSCN7124.JPG 126.6 KB · Views: 41 DSCN7147.JPG 113.4 KB · Views: 47 DSCN7150.JPG 100.6 KB · Views: 52
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Diwani wa kata ya Tunduma na Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi wamezuru eneo la soko lililoteketea vibaya kwa moto na kusababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kwa wakazi wa Tunduma.
B Baba Collins JF-Expert Member Sep 24, 2011 502 106 Nov 30, 2011 #2 Kwa nini mkoa wa Mbeya umegubikwa na matukio ya kuungua kwa masoko?