Kanda ya Ziwa ni Lowassa

Mtaka yote

Senior Member
Joined
Nov 30, 2014
Posts
136
Reaction score
103
Wakazi wa Kanda ya Ziwa tunakumbuka sana juhudi za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa Victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukrani zetu kwake tarehe 25 Oktoba.

Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu.

 
Hayo unayasema wewe njoo Kanda ya ziwa uone sio unaongea
 
CCM wametangulia Bagamoyo kwa babu kuwanga. Maji ya Lowasa marefu. Ni mafuriko!
 
Ce huku mwanza tunamngoja kwa hamu rais wetu lowasa wala hatuitaji makufuri coz nchi inaenda kuwa ya umaja sa nana amtamuibia mwenzake wakati kila mtu atakuwanacho chake?milango hatufungi ng'oo makufuri ayapeleke jamaica kwa balali ili amuongezee milango tucje kumchomoa tumlete kwa wananchi
 
kanda ya ziwa, pwani, kaskazini bado wapi tena
 

Peopleeee's!
 
Magufuli kawabomolea nyumba watu huko kanda ya ziwa na kachoma sana nyavu za wavuvi kwa ubabe. Nani anamtaka.....yaani hawataki hata kukuona zaidi ya wale wenye jezi za kijani. Pia nao wanajilazimisha kutabasamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…