Kanda maalum ya ushirikina

Huu, kama kama kawaida yako Mshana.Hebu tuambie basi, mashetani yanaweza kuzaa na mswahili?
 
Mkuu ina maana Pwani ina rasilimali za kutosha juu ya uchawi? Je wale wachawi wa kanda za mbali na pwani kama sumbawanga hufunga safari kuja pwani kufuata rasilimali?
Inategemea na aina ya uchawi
 
Sawa kamishna wa kanda hiyo,kwa hyo huku sumbawanga kunaongozwa na makamishna wasaidizi waandamizi sio eee?
 
Mshana unabidi uchunguzwe wewe...kama sio jipu basi utakuwa kipele na utatumbuliwa hivohivo maana siku hizi majipu yanajificha kwenye vipele...we toa siri za watu tu.
 
Historia ya uchawi inaaza tangu uumbaji wa ulimwengu (kwa waamini na waaminio) Mungu aliumba kila kitu na kinyume chake...uchawi ni nguvu hasi kinyume cha nguvu chanya
Ha ha kwahiyo alikuwa anataka kujichallange mwenyewe ama..?
 

kumbe kuishi sitimbi ni bora zaidi kuliko mjini.. lower demand, lower supply 😎
 
Challenge ni ya uumbaji si ya Mungu kwakuwa mwili ama roho haviwezi kujidhuru
"challenge ni ya uumbaji"
na vitabu vyake vinasema muumbaji ni yeye basi kuna upungufu ktk uumbaji wake na kama roho na mwili haviwezi kujidhuru mbona mnasema mtu akiwa ktk mwili akitenda dhambi inaenda kuhukumiwa roho yake..?
 
"challenge ni ya uumbaji"
na vitabu vyake vinasema muumbaji ni yeye basi kuna upungufu ktk uumbaji wake na kama roho na mwili haviwezi kujidhuru mbona mnasema mtu akiwa ktk mwili akitenda dhambi inaenda kuhukumiwa roho yake..?
Hukumu inatolewa na mwingine sio within self
 
Hukumu inatolewa na mwingine sio within self
sijauliza anaetoa hukumu bali hilo dhara baina ya roho na mwili unalizungumziaje wkt umesema roho na mwili haviwezi kujidhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…