Kamwe usimwamini mwanamke

Kamwe usimwamini mwanamke

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,463
Natumai mmeamka salama wakuu,

Vidume wenzangu tabia ya kujigamba mbele za watu eti mkeo ni mwaminifu hawezi chepuka, imemtokea puan rafiki yangu.

Kila siku alikua anavimba kijiweni eti mkewe mwaminifu sana na atakayeweza kumtongoza na kumla mkewe atampa zawadi.

Wahuni siyo watu wazuri, walimtongoza na akajaa nyumba ya wageni then wakampigia sim alichokiona hakuamini, alidondoka chini na kuzima.

Leo siku ya 3 yupo hospitali, hana nyimbo mpya isipokua kulia lia na kudai hamtaki tena mkewe wala hatokuja kuoa.
 
Kwani hili nalo mpaka tufundishwe?
Mwanamke ni kama kipepeo, upepo utakapovuma kwa kasi ataelekea huko!

Kusema kweli wanawake hawa wa kujihusisha nao kwenye mapenzi siwaamini kwa asilimia 50!!
 
Na huyo mwanamke yupo wapi na ana hali gani...mkumbushe mmewe kulipa dau aliloahidi
 
MKUU HUYO JAMAA YAKO ATAKUWA NI AMA MSHAMBA WA MAPENZI AU HANA UZOEFU NA WANAWAKE
 
Though women are handy around the house, they can't be trusted by man nor mouse.

It's a shame the way they drag a good man down.

Never, never trust a woman you'll be sorry if you do
 
Siyo wanawake tu hata sisi wanaume pia hatuaminiki! Tuache kuwanyooshea vidole Dada/mama/shangazi /wake na wapenzi wetu wakati nasisi tunatenda yaleyale.

Mtu mwenye akili lazima angezingatia kuwa ili mwanamke aonekane si mwaminifu lazima kuna mwanaume aliye mlaghai
 
Mwanaume hawezi jigamba mambo ya mke wake kuliwa au la huyo atakuwa mvulana akikua atajua kuchapiwa siri ya ndani.
 
Muache kubett kwenye mambo ya kipuuzi itakuja kuwakosti

Kuna mwenzenu huku kihonda analia anatangaza kuua mtu wakati kubett alibeti yeye
 
Wanaume wenyewe mnaaminika???
Natumai mmeamka salama wakuu,

Vidume wenzangu tabia ya kujigamba mbele za watu eti mkeo ni mwaminifu hawezi chepuka, imemtokea puan rafiki yangu.

Kila siku alikua anavimba kijiweni eti mkewe mwaminifu sana na atakayeweza kumtongoza na kumla mkewe atampa zawadi.

Wahuni siyo watu wazuri, walimtongoza na akajaa nyumba ya wageni then wakampigia sim alichokiona hakuamini, alidondoka chini na kuzima.

Leo siku ya 3 yupo hospitali, hana nyimbo mpya isipokua kulia lia na kudai hamtaki tena mkewe wala hatokuja kuoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom