Kuna dalili ya habari ya kisiasa! ni mtiririko wa maneno tu yasiyo na ushahidi wala chanzo muhimu, Wt ndiyo tunajua kuwa El ni sehemu ya mafisadi wakubwa tz, lakini kwanini Mkweeere hatajwi kwani yeye na mwanae R1 wanautajiri unavunja rekodi ya wenye pesa tz? Wana malori yakutisha yanayo kwenda Rwanda,Kongo,Burundi na wameweka majina ya watu wengine kabisa. R1 ameingiza nchini magari ya kifahari kwanjia za panya kule tanga bila kulipa ushuru hata senti moja, na magari haya tunaushahidi wakutosha kuwa dogo anafanya biznes na baadhi ya marais wengi tu barani Afrika mf: rais wa Guine,rais wa Kongo,King Mswati nk Swali ni je dogo anakampuni ya uuzaji wa magari tena ya kifahari? analipako? mtaji kaupata wapi? WOTE HAWA NI WEZI WA LASILIMALI ZA TAIFA HILI!