Kampuni ya bima iitwayo Astra wapiga bilioni 6

Kampuni ya bima iitwayo Astra wapiga bilioni 6

bopwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2013
Posts
1,776
Reaction score
1,464
Hawa jamaa wa Astra Insurance ni hatari kwenye secta ya Bima. Wamepiga mahela mengi kwa kushirikiana na Makampuni ya serikali.

Wamekiua wakipata tenda zote za mashirika kwa kumtumia afisa usalama wa zamani.

Cha kusikitisha hii ni Kampuni ya Kenya lakini Mashirika ya Umma hayajali makampuni ya wazalendo na wanashirikiana na Astra kukwapua bila ya huruma.

Kule TPA wamepiga deal sana , TTCL NA BOT Kote wamepiga deal Pamoja na kwenye Mifuko yote ya Hifadhi.

Hii Kamapunihaijali kufata makubaliano ya taasisi za Bima kuhusu rates za bima na huwa wana charge rates za chini kabisa na makampuni ya bima hawafanyi kitu kutokana na vitisho kwa huyo jamaa wao wa usalama wa zamani.

Kutokana na kucharge chini ya kiwango hupata wateja wengi. Na tenda nyingi na kuikosesha serikali mapato ya VAT Kama angefata rates zilizo kubaliwa..
Cha ajabu ni kama ana ogopwa ogopwa hivi huku makampuni mengine yakilia lia tu kuwa hawapati tenda za makampuni ya serkali .

Lazima serikali ichukue hatua kulinda mapato yake na kuilinda secta ya Bima ambayo anaiyumbisha

ImageUploadedByJamiiForums1469516613.860447.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1469516627.790526.jpg
 
Ubuyu huu una sukari na rangi nzuri sijui kama kutakucha. Na ninavyomjua mzee anavyopenda ubuyu ngoja tuone!!
 
Kama issue ni rates tu mleta uzi utakuwa umewaonea Astra
 
Astra ni Broker. Ila kuna ukweli fulani makampuni mengi ya Umma yanapitishia biashara kwenye hii Brokerage. Then wao ndio wanaamua jinsi ya ku-distribute hizo premiums kwennye makampuni mengine ya Bima kama NIC, Jubilee etc..
 
Kama issue ni rates tu mleta uzi utakuwa umewaonea Astra

Issue sio rates pekee. Hapa ni kutoa quoation kubwa zaidi na malipo yanayokwenda bima kuwa ni kidogo...yaani yale mambo ya 10%
gazeti linasema kuna cover ya afya ya 3billion lakini zika pigwa 6billion
kuhusu rates wana toza chini ya makubaliano ya industry. industy ya bima kupitia TIRA,TIBA na ATI Waliajiri actuarial valuation ili ashauri juu ya njia bora za kutoza pemium... hii ni kwa ajili ya kulinda soko la bima lisifilisike na kuweka minimum rates amabpo lengo ni kulinda ushindani.
sasa hii kampuni imekua ikikeuka haya na ku charge chini ya viwango...hivyo ni kinyume ya trade fair competition. ..
hili suala lina husu baadhi ya makampuni makubwa ya broker 10 yanayo ngoza kwa mapato
hawa kwa pamoja yana kusanya zaidi ya 80% ya mapato yote ya bima. ..amabayo ni wastani wa zaidi ya 400 bilion kwa mwaka.
sasa kutokana na ku rate chini ya nusu ya rates zilizo kubaliwa basi huikosesha serikali mapato ya VAT Zaidi ya 36 BILLION
kama wangefata rates zilizo kubaliwa basi wao pekee yao wangekusanya zaidi ya 600 Billion. lakini kutokana na uhuni wanao fanya ili kuhodhi biashara hiii basi serikali inakosa mapato yake . hii ni sawa Kununua TV ya 1Milion lakini mwenye duka anakuandikia risti ya laki 2 !!!

Tatizo hili lanafanya makampuni ya wazalendo washindwe kushindana na uhuni huu ..kwani always mteja atakwenda pale anapopata bi nafuu.
Tatizo lingine ni makampuni mengi ya bima kusajiliwa kijanja janja.
utakuta Watu wanaanzisha Broker then wakati huo huo wanahisa kubwa kwenye kampuni za bima zenyewe... sasa utakuta Mume ni MD wa Broker na Mke wake ni M. Director wa Insurance Company...sheria inaruhusu Broker kumiliki 10% interest katika Kmapuni za Bima lakini imekua ikitumiwa vibaya sana na baadhi ya Ma broker wakubwa Kujianzishia Makampuni ya Bima yao ili kuwa na total control ya market.
unaweza kukuta majina makubwa ya kampuni lakini local share holder ni Broker. sasa huku ndio wanapitishia kufanya under cutting na madudu mengine.
Hapa sheria ibadilishwe Brokers wasiruhusiwe kuwa na hisa kwenye makampuni ya Bima.
yapo mambo mengi yanaendelea katika hii secta na inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa...
Tutaendelea Kujuvyana zaidi kuhusu secta hii lengo likiwa kuona serikali inachuka hatua . Tukumbuke BIMA IMARA NDIO MLINZI WA UCHUMI WA NCHI...STAY TUNNED
 
Issue sio rates pekee. Hapa ni kutoa quoation kubwa zaidi na malipo yanayokwenda bima kuwa ni kidogo...yaani yale mambo ya 10%
gazeti linasema kuna cover ya afya ya 3billion lakini zika pigwa 6billion
kuhusu rates wana toza chini ya makubaliano ya industry. industy ya bima kupitia TIRA,TIBA na ATI Waliajiri actuarial valuation ili ashauri juu ya njia bora za kutoza pemium... hii ni kwa ajili ya kulinda soko la bima lisifilisike na kuweka minimum rates amabpo lengo ni kulinda ushindani.
sasa hii kampuni imekua ikikeuka haya na ku charge chini ya viwango...hivyo ni kinyume ya trade fair competition. ..
hili suala lina husu baadhi ya makampuni makubwa ya broker 10 yanayo ngoza kwa mapato
hawa kwa pamoja yana kusanya zaidi ya 80% ya mapato yote ya bima. ..amabayo ni wastani wa zaidi ya 400 bilion kwa mwaka.
sasa kutokana na ku rate chini ya nusu ya rates zilizo kubaliwa basi huikosesha serikali mapato ya VAT Zaidi ya 36 BILLION
kama wangefata rates zilizo kubaliwa basi wao pekee yao wangekusanya zaidi ya 600 Billion. lakini kutokana na uhuni wanao fanya ili kuhodhi biashara hiii basi serikali inakosa mapato yake . hii ni sawa Kununua TV ya 1Milion lakini mwenye duka anakuandikia risti ya laki 2 !!!

Tatizo hili lanafanya makampuni ya wazalendo washindwe kushindana na uhuni huu ..kwani always mteja atakwenda pale anapopata bi nafuu.
Tatizo lingine ni makampuni mengi ya bima kusajiliwa kijanja janja.
utakuta Watu wanaanzisha Broker then wakati huo huo wanahisa kubwa kwenye kampuni za bima zenyewe... sasa utakuta Mume ni MD wa Broker na Mke wake ni M. Director wa Insurance Company...sheria inaruhusu Broker kumiliki 10% interest katika Kmapuni za Bima lakini imekua ikitumiwa vibaya sana na baadhi ya Ma broker wakubwa Kujianzishia Makampuni ya Bima yao ili kuwa na total control ya market.
unaweza kukuta majina makubwa ya kampuni lakini local share holder ni Broker. sasa huku ndio wanapitishia kufanya under cutting na madudu mengine.
Hapa sheria ibadilishwe Brokers wasiruhusiwe kuwa na hisa kwenye makampuni ya Bima.
yapo mambo mengi yanaendelea katika hii secta na inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa...
Tutaendelea Kujuvyana zaidi kuhusu secta hii lengo likiwa kuona serikali inachuka hatua . Tukumbuke BIMA IMARA NDIO MLINZI WA UCHUMI WA NCHI...STAY TUNNED
Kiingozi nakubaliana na ww kwa 100% bt hayo madudu hayafanywi na Astra pekee nadhan na ww unajua hilo,brokers wote wakubwa wanafanya hayo madudu lkn nani anawalinda??jibu lazima utakuwa nalo
Nilishawah kuanzisha uzi humu kuhusu soko la bimalinavyoelekea hapa Tanzania lkn ulipokatiwa hata sielewi, issue hapa sio haya makampuni issue ni msimamizi nadhan na ww unaelewa
 
Back
Top Bottom