Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif] MCHUBANGA ENTERPRISES Details[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Registration Number: C7/1688/12/2009-kwenye civil[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Registration Number: B7/2533/12/2009-kwenye building[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Telephone Number: 0732 997097/0713 195747???[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Town/Village:DAR ES SALAAM[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Postal Address:P.O. BOX 71997[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Location:UKONGA MAGEREZA [/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Email:mchubanga@gmail.com[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]ACTIVE MEMBER[/FONT]
gharama za ujenzi zinarange kiasi gani kwa ntiumba standard ya vumba vitatu vya kulala sebule , dinning self contained isito na vikorombweza vingi? mi natarajia kuanza ujenzi december, labda wanaweza kunisaidia manake muda wangu i tight sana
nadhani lengo si kulalamika ila ni kuifahamisha jamii juu ya vitu vyema, jamii iliyo huru uwa na mawazo tofauti na hii ni haki yao ya msingi, ila cha muhimu ni kujenga taifa lao na kuthamini vitu bora vitavyoletwa na mzalendo mwenzao,Mtoa hoja atajuuuuuta kujifaragua.
Fanya homework yako vyema kisha uje jukwaani na kitu chenye mashiko ama la unaweza kuanza kulalama kuwa unatukanwa ilhali weye ndo uliinvite madongo kwa post bogus
"mchumbanga civil and buliding...(......)(company/contractors/firm/agency/investments/limited/group/associates/partners/estates/...???
Manyoyaaaaaa!!!Umesha ambiwa ni ya ajabu... Haina usajili wala nini
Watanzania wanaopenda ujenzi wenye kiwango na ubora wa juu, nawapa habari juu ya kampuni ya ujenzi madhubuti itayofanikisha ujenzi wako katika kiwango cha kimataifa kwa bei ya wastani, kampuni yenyewe ambayo inamilikiwa na mtanzania halisi mawasiliano
MCHUBANGA CIVIL AND BUILDING
PO BOX 71997 DAR
AU WASILIANA NA MKURUGENZI MTENDAJI
BWANA VICTOR CHACHA SIMU YAKE NI
O713195747
Na wewe ni kama nani kwenye hii kampuni? Dalali au ndio MD mwenyewe?
Kuna nyumba mlizojenga amabapo tunaweza kwenda kuangalia au kuulizia kuhusu kazi mliyoifanya?
Ndo hapo sasa!!!? Nayo inafufua misukule?Kwanini umeiita kampuni ya ajabu
Kwanini umeiita kampuni ya ajabu
kwasababu ya malengo yake, kwani kampuni nyingi zina lengo moja tuu ambalo ni faida lakini kampuni hii inamalengo makuu mawili ambayo ni uzalendo na faida, kama mipango yetu ikienda vizuri tuna mpango wa kwenda kujenga nyumba stahili vijijini, na hili inawezekana kama tukiendelea kuwa stable mda si mrefu, ila tunaendelea kusisitiza mwitikio wa wazalendo
JENGA NA MCHUBANGA
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif] MCHUBANGA ENTERPRISES Details[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Registration Number: C7/1688/12/2009-kwenye civil[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Registration Number: B7/2533/12/2009-kwenye building[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Telephone Number: 0732 997097/0713 195747[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Town/Village:DAR ES SALAAM[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Postal Address:P.O. BOX 71997[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Location:UKONGA MAGEREZA [/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Email:mchubanga@gmail.com[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]ACTIVE MEMBER[/FONT]