Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,138
Wana Jf nataka kufahanishwa Baina ya Makampuni haya ya Ujenzi ambayo nayaona yanatawala sana hapa Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla na Wamiliki wake ni kina nani? Na lipi lina zana kwa maana ya vifaa bora vya ujenzi, rasilimali watu, kazi bora na nk, Lipi lipo juu kiufanisi?
(i) Estim Construction
(ii) CRJE
(iii) Group Six International
Nawasilisha!!
(i) Estim Construction
(ii) CRJE
(iii) Group Six International
Nawasilisha!!