Kampuni hizi za Mabasi vipi?

Kampuni hizi za Mabasi vipi?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
4,712
Reaction score
11,979
Nadhani ndio kampuni zinazoongoza kwa CHINJA CHINJA;

SUMRY BUS.
MOHAMEDI TRANS
SAI BABA.

Nini kinaendelea na majina haya?!
 
Nadhani ndio kampuni zinazoongoza kwa CHINJA CHINJA;

SUMRY BUS.
MOHAMEDI TRANS
SAI BABA.


Nini kinaendelea na majina haya?!
summry mbona wako poa sana?au nao wameshaanza kupata majanga mengi kama scandinavia express iliyokufaga?
 
juzi natoka iringa nmepanda gar lililotokea mbeya linaitwa majinja special...km speed boat au jet aisee yan ikila mzinga haponi mtu. ila somthng fun bout ilo basi kila siti in home switch ukutani
 
Back
Top Bottom