Kampuni binafsi zinaporomoka kwa kasi

Miss Champagne

JF-Expert Member
Sep 2, 2020
2,157
6,309
Kati ya watu wangu wa karibu ndugu jamaa na marafiki pia majirani nnaowafahamu, yaani kati ya familia 10, watano hawana kazi.

Kuna ambao kampuni zimekufa kabisa, kuna ambao zimeyumba kimapato so wamepunguzwa na kuishia kubaki nyumbani.

Pata picha baba una watoto watatu Wanakuangalia wewe na kazi ndio basi huna. Unajiskiaje?

Huyu mzee mwambieni akiua sekta binafsi hawakomoi wamiliki tu Bali watanzania kwa maelfu wanaathirirka kwa kupoteza ajira zao..maisha na uchumi wa nchi unarudi nyuma.sekta binafsi zima mchango wake pia.

Kama anataka Serikali pekee ndo ishike usukani basi atoe ajira kwa wingi, chakushangaza hatoi na madaraja hapandishi, mishahara hapandishi mwaka wa sita huu. Ukilalamika maslahi duni anakufuata huko na kukuharibia. Tumueleweje?

Jali basi upande unaouthamini wewe wa serikali hutaki! Binafsi unaua, Serikali ungandamiza tukueleweje?

Vijana kwa maelfu wako hopeless mitaani, wakifikiria serikali imewatupa, wakiamua kwenda binafsi bado serikali yao hiyohiyo inakuja kuwaharibia waende wapi?
 
Ngoja wanaoathirika wawe wengi mkuu, akili zitakuja.

Kwa uwiano wa sasa wa nusu kwa nusu wale ambao bado wanabangaiza mkate na siagi wanawaona waliokosa kazi kama wanajiongelesha tu, wanawaona wazembe na ukisema wanakwambia we ulikuwa mpiga dili mara muuza unga acha unyooshwe, sasa we kaa kimya tu, kokoro likishapitia na hawa wanaochonga sana sasa hivi akili zitakaa sawa na watakuwa upande mmoja, suluhuisho litapatikana
 
Anakomoa kumbe anaua. Ni kama nyani kufanya mbinu za kumuua mwenye shamba bila kujua akifa tuu na wao maisha yao yapo hatarini maana hakuna wa kulima mahindi.
Hivi mwenyewe hayaoni haya?
Mshauri wake ni nani hasa?
 
Waambiwa wakiwa huko kwenye ajira wasijisahau, wajue Kuna kesho. Ukiacha kampuni kufa na kuondoka pia Kuna kufukuzwa, hivyo waanbie tena wakiwa huko wasijisahau
Unakuta Mtu yupi kampuni binafsi miaka zaidi ya 10, kampuni ikiondoka au akifukuzwa anaanza kulialia.
Wengi walio kwenye kampuni binafsi wanajisahau sana utafikiri wameambiwa hizo kampuni zitadumu milele
 
Mkuu ni hatari sana...ndoa zimevunjika...
Kati ya watu wangu wa karibu ndugu jamaa na marafiki pia majirani nnaowafahamu, yaani kati ya familia 10, watano hawana kazi.

Kuna ambao kampuni zimekufa kabisa, kuna ambao zimeyumba kimapato so wamepunguzwa na kuishia kubaki nyumbani.

Pata picha baba una watoto watatu Wanakuangalia wewe na kazi ndio basi huna. Unajiskiaje?

Huyu mzee mwambieni akiua sekta binafsi hawakomoi wamiliki tu Bali watanzania kwa maelfu wanaathirirka kwa kupoteza ajira zao..maisha na uchumi wa nchi unarudi nyuma.sekta binafsi zima mchango wake pia.

Kama anataka Serikali pekee ndo ishike usukani basi atoe ajira kwa wingi, chakushangaza hatoi na madaraja hapandishi, mishahara hapandishi mwaka wa sita huu. Ukilalamika maslahi duni anakufuata huko na kukuharibia. Tumueleweje?

Jali basi upande unaouthamini wewe wa serikali hutaki! Binafsi unaua, Serikali ungandamiza tukueleweje?

Vijana kwa maelfu wako hopeless mitaani, wakifikiria serikali imewatupa, wakiamua kwenda binafsi bado serikali yao hiyohiyo inakuja kuwaharibia waende wapi?
 
Kati ya watu wangu wa karibu ndugu jamaa na marafiki pia majirani nnaowafahamu, yaani kati ya familia 10, watano hawana kazi.

Kuna ambao kampuni zimekufa kabisa, kuna ambao zimeyumba kimapato so wamepunguzwa na kuishia kubaki nyumbani.

Pata picha baba una watoto watatu Wanakuangalia wewe na kazi ndio basi huna. Unajiskiaje?

Huyu mzee mwambieni akiua sekta binafsi hawakomoi wamiliki tu Bali watanzania kwa maelfu wanaathirirka kwa kupoteza ajira zao..maisha na uchumi wa nchi unarudi nyuma.sekta binafsi zima mchango wake pia.

Kama anataka Serikali pekee ndo ishike usukani basi atoe ajira kwa wingi, chakushangaza hatoi na madaraja hapandishi, mishahara hapandishi mwaka wa sita huu. Ukilalamika maslahi duni anakufuata huko na kukuharibia. Tumueleweje?

Jali basi upande unaouthamini wewe wa serikali hutaki! Binafsi unaua, Serikali ungandamiza tukueleweje?

Vijana kwa maelfu wako hopeless mitaani, wakifikiria serikali imewatupa, wakiamua kwenda binafsi bado serikali yao hiyohiyo inakuja kuwaharibia waende wapi?
Hawa WaTZ Ngoja waonje chungu kidogo, kwani ndio wakwanza kulalamikia wenye hizo company, na kushangilia wamiliki wa hizo company wakipatwa na Mabaya, acha roho zao mbaya ziwarudie
 
Hawa WaTZ Ngoja waonje chungu kidogo, kwani ndio wakwanza kulalamikia wenye hizo company, na kushangilia wamiliki wa hizo company wakipatwa na Mabaya, acha roho zao mbaya ziwarudie
How?
Sijaelewa hapo
 
Waambiwa wakiwa huko kwenye ajira wasijisahau, wajue Kuna kesho. Ukiacha kampuni kufa na kuondoka pia Kuna kufukuzwa, hivyo waanbie tena wakiwa huko wasijisahau
Unakuta Mtu yupi kampuni binafsi miaka zaidi ya 10, kampuni ikiondoka au akifukuzwa anaanza kulialia.
Wengi walio kwenye kampuni binafsi wanajisahau sana utafikiri wameambiwa hizo kampuni zitadumu milele
Wamekupata mkuu
 
Hawa WaTZ Ngoja waonje chungu kidogo, kwani ndio wakwanza kulalamikia wenye hizo company, na kushangilia wamiliki wa hizo company wakipatwa na Mabaya, acha roho zao mbaya ziwarudie

Tabia ya wa Tanzania wengi ni kuombeana mabaya hata kama mtu unamsaidia na mwingine umemtoa ktk mazingira ya kupeana hata kazi kijamaa baadae nae anakuchimba au anataka kukugeuka kabisa na kuhujumu hata mipango yako

Yaani tumetoka kwenye lindi la umasikini kwa wengi wetu na kwa kiwango ambacho tunaona wenzi wetu wanao jitahidi ktk kujitoa ktk umasikini kama wanajidai/jiona au watatuzidi na kupata mema fulani dah
 
Tabia ya wa Tanzania wengi ni kuombeana mabaya hata kama mtu unamsaidia na mwingine umemtoa ktk mazingira ya kupeana hata kazi kijamaa baadae nae anakuchimba au anataka kukugeuka kabisa na kuhujumu hata mipango yako

Yaani tumetoka kwenye lindi la umasikini kwa wengi wetu na kwa kiwango ambacho tunaona wenzi wetu wanao jitahidi ktk kujitoa ktk umasikini kama wanajidai/jiona au watatuzidi na kupata mema fulani dah
Ni kweli kabisa, yaani unasaidia mtu/ndugu anakuja kukuibia au anakuchongea ili ufukuzwe kazi, Cha ajabu mpaka mke ambaye anakula,vaa,tibiwa, kila kitu juu yako anakuombea mabaya. ila ukiongea nao wanakuchekea kweli. hizi roho mbaya zinarudisha hii Nchi nyuma sana.
 
Back
Top Bottom