Jama watanzania wazalendo mlioko nyumbani mpige kampeni ya nguvu, ccm iondoke madarakani, angalau nchi iPate mabadiliko kutoka ukawa..zifnyike reform mbali mbali kwenye sekta ya afya, elimu, mahakama, uchukuzi, miundombinu nk..jama kampeni ya mtu mmoja mmoja na viongozi ukawa wajitahidi kuzuia mianya ya kuibiwa kwa uchaguzi..hiki ndo kipindi chenyewe