Kampeni za uchaguzi chuo kikuu cha ruaha-iringa

Kampeni za uchaguzi chuo kikuu cha ruaha-iringa

Joined
Apr 29, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Hatimaye hatua za mwisho kwa ajili ya uchaguzi ngazi ya raisi chuo kikuu cha ruaha kuisha leo, wanazuoni wengi wameonekana kuwakubali wagombea kwa kiasi fulani , pia wagombea wanaoneka kugusa hisia za wadau kwa kukubalika.
Kwa ujumla mbwembwe za ushindi jioni ya leo zitajulikana kesho katika hatua ya UCHAGUZI.
 
Mhm!huko napo kuna wanazuoni kumbe?
 
Back
Top Bottom