Leo mchana nimehudhuria kampeni ya CCM katika kijiji cha Nyanduga wakiwemo Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya Ndugu kiboye namba 3 na Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Lameck Airo.
Ndugu zangu sikuamini macho yangu na masikio yangu yale matusi yalivyokuwa yanaporomoshwa dhidi ya Lowassa, Mbowe, Mbatia na Owawa.
Ni aibu kuyaandika hapa lakini hawa Ndugu zetu wameishiwa sera muda wote wa kampeni ni matusi.
Huyu namba 3 alikuwa muuza mafuta kwenye kituo cha Gachuma na akabebwabebwa na hatimaye akafikia hapo alipo. Huyu Mbunge aliyemaliza muda wake ninyi mnajua elimu yake hata Bungeni ukimuuliza Hansard ni nini hawezi kukujibu.
Hahudhurii Bungeni na hata swali na majadiliano kwenye Bunge ni mama mkwe kwake. Tufike mahali tusiwe tunawatukana wenzetu ili tunatakiwa kunadi sera za Chama husika.
Ndugu zangu sikuamini macho yangu na masikio yangu yale matusi yalivyokuwa yanaporomoshwa dhidi ya Lowassa, Mbowe, Mbatia na Owawa.
Ni aibu kuyaandika hapa lakini hawa Ndugu zetu wameishiwa sera muda wote wa kampeni ni matusi.
Huyu namba 3 alikuwa muuza mafuta kwenye kituo cha Gachuma na akabebwabebwa na hatimaye akafikia hapo alipo. Huyu Mbunge aliyemaliza muda wake ninyi mnajua elimu yake hata Bungeni ukimuuliza Hansard ni nini hawezi kukujibu.
Hahudhurii Bungeni na hata swali na majadiliano kwenye Bunge ni mama mkwe kwake. Tufike mahali tusiwe tunawatukana wenzetu ili tunatakiwa kunadi sera za Chama husika.