shuhudia lihemla
Member
- Jul 12, 2014
- 61
- 17
Wadau napenda sana kuzisikiliza/tazama kampeni za kingwendu maana ni burudani. so mwenye nazo atusaidie.
M4C
M4C
Wadau napenda sana kuzisikiliza/tazama kampeni za kingwendu maana ni burudani. so mwenye nazo atusaidie.
M4C
waandishi w habari bongo ni hovyo,coverage ya huyu jamaa ingetingisha nchi kila ifikapo SAA mbili kamili,kila MTU ana hamu ya kumsikia
waandishi w habari bongo ni hovyo,coverage ya huyu jamaa ingetingisha nchi kila ifikapo SAA mbili kamili,kila MTU ana hamu ya kumsikia
anasema ccm wote mapanya wametugwegweda weee mpaka tumechanganikiwa hatuna hamu.
plus sauti macho na vitendo utacheka!
Nimeiona leo video yake on Facebook, jamaa yupo vizuri sana kwenye kujenga hoja,,,,,yupo vizur even though anatumia vionjo vya kuchekesha ila ukweli hatok nje ya mada,yaani ule usanii pia anautumia kufikisha ujumbe.... la pili the guy is so simple the way anavyovaa,havai kikomedi ila anavaa kawaida sana na wala havai sare za chama yaan CUF anavaa tu nguo za kawaida,Watu naona wanamsikiliza kwakweli I mean wa kutoshaHahaha huyo jamaa i wish nimuone