Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Tanzania hajawahi kuonyesha utaifa kama wakati wa vita ya kutafuta uhuru,tuliungana wote bila kujali rangi,kabila na dini hadi tukawa hutu
Baada ya hapo utaifa uliimarishwa kupitia Lugha ya Kiswahili,vijijo vya ujamaaa ( pamoja na matatizo yaliyotokea) ,na utamaduni wetu uliunganisha makabila zaidi ya 120 yote pamoja
Utaifa ulidhihirishwa kwa kuungana pampja kupigania uhuru wa nchi zilizo.kusini mwa afrika kwa kuchangia pesa na askari waliopigana sambamba na kutoa elimu na mafunzo ya kijeshi kwa waafrika wenzetu na tukawa makazi ya wote waliokandamizwa duniani na wapigania uhuru wakiwamo kundi la.Black.Panthers ambalo lilikua likipinga ubaguzi marekani waliopewa makazi...tanzania ,arusha
Vita vya kagera vikawa kilele cha uzalendo wake kwa waume walichanga kila kitu kuanzia kuku magari na kujitoa.maisha yao kulinda mipaka ya nchi
Uzalendo uliokubuhu ni kuendelea kumuunga mkono Mwalimu nyerere pale IMF na WB walipomtendea kama Zimbabwe ,walituwekea vikwazo ...pengine waliogopa uwezo wa.Tanzania kuweza kupigana vita zaidi ya Tatu kwa mpigo..bila..msaada hasa wa askari wa nch kubwa ambao..zipo zilizotaka kutupa askari ili tukishinda tusijisifu sana ....wakati tunapigana uganda Brigade nyingine ilikua Msumbiji ,kulikua na kikundi chini ya iddi ganhu Sheli.sheli , kulikua pia na...askari wetu Comoro..na Re Unuon...wakati huo kulikua na bwana...wa.kivita akiitwa BOB DENARD alikuwa akivipindua hivyo visiwa kadiri alivyotaka tulienda kuvilinda
Kwa hiyo kimkakati vikwazo alivyowekewa mwalimu vilikuwa mkakati maalum...ili kuyumbisha uchumi kwa kuhofia nguvu zake zingemfanya awe kiburi..zaidi ...vikwazo vilisababisha viwanda zaiidi ya 500 kufa vingine kwa kukosa simply spears ....kiukweli yaliowapata zimbabwe yalikua madogo ,walishangaaa bado watamzania hawakumuhasi Mwalimu ..na yeye alipogundua tunateswa kwa ajili ya misimamo yake akaondoka
Pia ikumbukwe inahidiwa mfanyabiashara anko Thom ( thomas lugakingira ) aliyechochea na kufanikiwa kushawishi kundi la wanajeshi vijana kupanga mapinduzi mwaka 1983 alikuwa na ufadhili mkubwa wa nchi za magharibi na ndio maaana alifanikiwa kutoroka Magereza korofi ya Ukonga akiondoka na...kunndi...lote la askari wa zamu na mkuu wa gereza , wakaenda nao...ulaya ,sio kawaida ,haya yasemwe yaandikwe ili watu wajuwe uzalendo uliokuwepo
Utashangaaa alipoingia Mwinyi IMF na wB walitoa masharti yaliyolenga kuondoa uwezo wa Tanznaia kujitegemea kama...kuuza viwanda ,kuondoa elimu na.afya bure na...mengine .....
Leo hii tunapofanya kampeni ya uzalendo tunategemea kuona...ratiba yote iweke itikadi za siasa pembeni ...tuone...kabisa ushiriki wa kila mmoja na...kuheshimiwa bila kujali siasa ...kama ni...wastaafu basi tuwaone wote wakiwamo...Maalim..Seif ,lowassa ,sumaye ...na wengine ambao...inaonekana waliwekwa kando na.mfumo kwa ajili ya siasa ...
Lugha itakayotumika iheshimu watanzania wa...kila hali na sio jukwaaa la vijembe au la...kupokea wanachama wa kisiasa ...
Wasanii watumike.wote hata wale ambao.wanaimba against...system kama wagosi na na...wengine
Nasema hayo kwa kuwa ni kweli level...ya uzalendo...iko chini sana...kiasi...najiuliza...kama leo...tukivamiwa itakuwaje ..kama hata ushauri wa kitaaalamu wa...mtu wa mrengo tofauti unachukuliwa....tofauti na...usaliti
All the best
Baada ya hapo utaifa uliimarishwa kupitia Lugha ya Kiswahili,vijijo vya ujamaaa ( pamoja na matatizo yaliyotokea) ,na utamaduni wetu uliunganisha makabila zaidi ya 120 yote pamoja
Utaifa ulidhihirishwa kwa kuungana pampja kupigania uhuru wa nchi zilizo.kusini mwa afrika kwa kuchangia pesa na askari waliopigana sambamba na kutoa elimu na mafunzo ya kijeshi kwa waafrika wenzetu na tukawa makazi ya wote waliokandamizwa duniani na wapigania uhuru wakiwamo kundi la.Black.Panthers ambalo lilikua likipinga ubaguzi marekani waliopewa makazi...tanzania ,arusha
Vita vya kagera vikawa kilele cha uzalendo wake kwa waume walichanga kila kitu kuanzia kuku magari na kujitoa.maisha yao kulinda mipaka ya nchi
Uzalendo uliokubuhu ni kuendelea kumuunga mkono Mwalimu nyerere pale IMF na WB walipomtendea kama Zimbabwe ,walituwekea vikwazo ...pengine waliogopa uwezo wa.Tanzania kuweza kupigana vita zaidi ya Tatu kwa mpigo..bila..msaada hasa wa askari wa nch kubwa ambao..zipo zilizotaka kutupa askari ili tukishinda tusijisifu sana ....wakati tunapigana uganda Brigade nyingine ilikua Msumbiji ,kulikua na kikundi chini ya iddi ganhu Sheli.sheli , kulikua pia na...askari wetu Comoro..na Re Unuon...wakati huo kulikua na bwana...wa.kivita akiitwa BOB DENARD alikuwa akivipindua hivyo visiwa kadiri alivyotaka tulienda kuvilinda
Kwa hiyo kimkakati vikwazo alivyowekewa mwalimu vilikuwa mkakati maalum...ili kuyumbisha uchumi kwa kuhofia nguvu zake zingemfanya awe kiburi..zaidi ...vikwazo vilisababisha viwanda zaiidi ya 500 kufa vingine kwa kukosa simply spears ....kiukweli yaliowapata zimbabwe yalikua madogo ,walishangaaa bado watamzania hawakumuhasi Mwalimu ..na yeye alipogundua tunateswa kwa ajili ya misimamo yake akaondoka
Pia ikumbukwe inahidiwa mfanyabiashara anko Thom ( thomas lugakingira ) aliyechochea na kufanikiwa kushawishi kundi la wanajeshi vijana kupanga mapinduzi mwaka 1983 alikuwa na ufadhili mkubwa wa nchi za magharibi na ndio maaana alifanikiwa kutoroka Magereza korofi ya Ukonga akiondoka na...kunndi...lote la askari wa zamu na mkuu wa gereza , wakaenda nao...ulaya ,sio kawaida ,haya yasemwe yaandikwe ili watu wajuwe uzalendo uliokuwepo
Utashangaaa alipoingia Mwinyi IMF na wB walitoa masharti yaliyolenga kuondoa uwezo wa Tanznaia kujitegemea kama...kuuza viwanda ,kuondoa elimu na.afya bure na...mengine .....
Leo hii tunapofanya kampeni ya uzalendo tunategemea kuona...ratiba yote iweke itikadi za siasa pembeni ...tuone...kabisa ushiriki wa kila mmoja na...kuheshimiwa bila kujali siasa ...kama ni...wastaafu basi tuwaone wote wakiwamo...Maalim..Seif ,lowassa ,sumaye ...na wengine ambao...inaonekana waliwekwa kando na.mfumo kwa ajili ya siasa ...
Lugha itakayotumika iheshimu watanzania wa...kila hali na sio jukwaaa la vijembe au la...kupokea wanachama wa kisiasa ...
Wasanii watumike.wote hata wale ambao.wanaimba against...system kama wagosi na na...wengine
Nasema hayo kwa kuwa ni kweli level...ya uzalendo...iko chini sana...kiasi...najiuliza...kama leo...tukivamiwa itakuwaje ..kama hata ushauri wa kitaaalamu wa...mtu wa mrengo tofauti unachukuliwa....tofauti na...usaliti
All the best