hili halina ubishi cha kushangaza pia kuwa ubungo hii ndipo wizara ya maji ilipo hatua mbele chache nipo ishi ubungo kibangu tunanunua maji dumu mia tano. Me nnachokiona kuna biashara inafanyika kati ya viongoz wa eneo husika na hawa wanaoyafata maji kwa magari nakuja kuuza kwa bei ya kununua unga nusu kilo. Nachoshauri mtoa mada jaribu kufika wizara utoe hili dukuduku lipatiwe dawa.
Ilo Tatzo lipo hadi huku kimara mwisho,na nimeambiwa ya kwamba kuna rushwa kati ya wenye magari ya maji dawasco ili jamaa waendelee kuuza maji yao kwenye magari,inaniuma sana.ili jipu linahitaji kutumbuliwa kabla halijaiva mwenye namba ya waziri mkuu atupie humu ndani ili nimpe hii Habar coz haya mambo ndio yanaumiza wananchi wa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.