Kampeni ya kukataa NSSF

Kampeni ya kukataa NSSF

#kataanssf tuamkeni jamani hawa watu wanatunyanyasa hii ni kampeni sambaza hiyo hashtag kwa wingi iwezekanavyo


kwa hiyo ukisema kataa nssf bila kutoa sababu unadhani kila mtu atakuelewa na atakubali? assumption yako ni kuwa watanzania wote ni wapuuzi sana na wanafuata upepo??
 
kwa hiyo ukisema kataa nssf bila kutoa sababu unadhani kila mtu atakuelewa na atakubali? assumption yako ni kuwa watanzania wote ni wapuuzi sana na wanafuata upepo??

kama huelewi wewe pita kaka wale waliotendwa wanajua nini namaanisha
 
Nipo ndani nna ka forty kangu huko nna hasira nao vibaya mno hakuna faida yoyote nnayopata zaidi ya wao kutumia michango yangu bila mie kupata faida
 
Mi ndo nshajiunga nao jamani....na kutoka ndo siwez.....lakin formula itakayotumika sahv c ni moja kwa mifuko yote.
 
Lawyers should never ask a Georgia grandma a question if they aren't prepared for the answer.
In a trial, a Southern small-town prosecuting attorney called his first witness, a grandmotherly, elderly woman to the stand. He approached her and asked, 'Mrs. Jones, do you know me?' She responded, 'Why, yes, I do know you, Mr. Williams. I've known you since you were a boy, and frankly, you've been a big disappointment to me. You lie, you cheat on your wife, and you manipulate people and talk about them behind their backs. You think you're a big shot when you haven't the brains to realise you'll never amount to anything more than a two-bit paper pusher. Yes, I know you.'
The lawyer was stunned. Not knowing what else to do, he pointed across the room and asked, 'Mrs. Jones, do you know the defence attorney?'
She again replied, 'Why yes, I do. I've known Mr. Bradley since he was a youngster, too. He's lazy, bigoted, and he has a drinking problem. He can't build a normal relationship with anyone, and his law practice is one of the worst in the entire state. Not to mention he cheated on his wife with three different women. One of them was your wife. Yes, I know him.'
The defence attorney nearly died.
The judge asked both counsellors to approach the bench and, in a very quiet voice, said,
'If either of you ------ asks her if she knows me, I'll send you both to the electric chair.






 
Ni kweli ipo haja kubwa wafanyakazi wa sekta mbali mbali kuungana na kufanya mambo yafuatayo.

Mosi,kudai marekebisho makubwa katika uendeshaji wa NSSF.

Pili,kudai uwakilishi mkubwa katika bodi ya wakurugenzi wa NSSF.

Tatu,miradi yote ya ujenzi wa maghorofa katika miji ipitiwe upya na kuangaliwa gharama halisi kama zinaendana na thamani ya majengo.

Nne,Kuagalia kama uwekezaji wa majengo makubwa mijini yanamnufaisha mfanyakazi (mchangiaji

Tano,Kuangalia namna kuanzisha bank ya wafanyakazi badala ya kupeleka fedha bank nyingine bank ya wafanyakazi itakuwa na wajibu wa kukusanya na kupokea fedha zote za michango ya wafanyakazi.

Sita,Kuangalia namna ya kumsaidia mfanyakazi eg mikopo ya riba nafuu dhamani ikiwa ni michango yake mwenyewe.


Natanguliza shukrani kwa mjadla wenye afya.
 
Acha ushabiki usiokua na maana kuna marekebisho makubwa sana yamefanywa sasa mifuko yote sasa itafuata utaratibu mmoja kwenye kutoa mafao kwa wanachama wake.
Fuatilia mambo kwanza sio kuleta ushabiki wakipuuz.
 
Mimi nilichoelewa ni kuwa kikokotoo kilichotolewa ni guide line...unaweza kuchukua makadirio ya chini au ya juu. Hii mifuko iliyokuwa ya wafanyakazi wa serikali inatoa mihela hadi inawekewa limit wakati Nssf wao pamoja na uekezaji wa kutisha wanasubiri hadi washinikizwe na serikali kuwa wanawanyonja wa walala hoi....
Mimi Ninavyojua njie mtachukua yale makadirio ya chini mwisho ili mlipe hela kidogo.Haya mahela ya uekezaji yanakwenda wapi?????
mbona hii mifuko iliyokuwa ya wafanyakazi wa serikali haijaekeza kihivyo ila inatoa mahela bila hata longolongo

Nasikia mmeanza kutoa mikopo ambayo wala haina tija;
mtu anahela yAke kwenu mnamuambia wajiunge wawe wengi ndio wakope; mikopo ni shida binafsi, utawapatawapi wenye shida kama yako muda huo ili mkakope???
 
Back
Top Bottom