nipo na wewe mji huu huu, moshi tunaenda kutambika na kurudi kwenye huu mji, Lol, mie kaloleni pale kwa mtendaji, jumapili nimemwambia shem wako tusamehe kanisa tukampitishe kessy aka mzee wa nukta pale, halafu nilikuwa nimesahau ishu ya kwenda kuhakiki, ntalifanya kesho.