Habari za Asubuhi ndugu Wana JF, ni matumaini yangu mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu pendwa la Tanzania. Naomba kufahamishwa ada (Undergraduate fees) za Kampala University Dar Es Salaam kias wanacholipa.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!?
Habari za Asubuhi ndugu Wana JF, ni matumaini yangu mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu pendwa la Tanzania. Naomba kufahamishwa ada (Undergraduate fees) za Kampala University Dar Es Salaam kias wanacholipa.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!?
Mkuu unaenda kusoma course gani? Tumia kitabu cha TCU huwa kinaandikwa course na ada yake. Kipidi cha nyuma ilikuwa hivyo sijui mwaka huu kama bado ipo hivyo lakini tafuta hicho kitabu
Habari za Asubuhi ndugu Wana JF, ni matumaini yangu mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu pendwa la Tanzania. Naomba kufahamishwa ada (Undergraduate fees) za Kampala University Dar Es Salaam kias wanacholipa.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!?
Habari za Asubuhi ndugu Wana JF, ni matumaini yangu mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu pendwa la Tanzania. Naomba kufahamishwa ada (Undergraduate fees) za Kampala University Dar Es Salaam kias wanacholipa.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!?
Mkuu unaenda kusoma course gani? Tumia kitabu cha TCU huwa kinaandikwa course na ada yake. Kipidi cha nyuma ilikuwa hivyo sijui mwaka huu kama bado ipo hivyo lakini tafuta hicho kitabu
Mkuu unaenda kusoma course gani? Tumia kitabu cha TCU huwa kinaandikwa course na ada yake. Kipidi cha nyuma ilikuwa hivyo sijui mwaka huu kama bado ipo hivyo lakini tafuta hicho kitabu