K Kitorondo Member Joined Oct 21, 2011 Posts 61 Reaction score 33 Aug 30, 2015 #1 Kwenye 360 kila habari inayomuhusu Lowassa lazima uipigie debe kwa nguvu lakni habari ya Magufuli hutaki kuisikia tunamsubiri Sam ndiyo yupo fair
Kwenye 360 kila habari inayomuhusu Lowassa lazima uipigie debe kwa nguvu lakni habari ya Magufuli hutaki kuisikia tunamsubiri Sam ndiyo yupo fair
DALLAI LAMA JF-Expert Member Joined Jan 31, 2012 Posts 8,652 Reaction score 2,642 Aug 30, 2015 #2 Hueleweki. Ila kila ulimi na hata kimoyomoyo lazima ukiri kuwa Rais ni Lowassa.