Kamjua wiki kamuoa inawezana jaman

MUREFU

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,331
350
Habar zenyu wanathnker. Ma2main yangu wate wazma na 2po kwenye mchakato ya maandaliz ya pasaka mungu awatakulie wote na 2sherekee kesho salama. 2kiacha hlo nimekutana maongez kwenye upata maj ya dubai jion ya jana walikuwepo jamaa watatu wanakula nao dubai meza yangu ya pemben na ndo wakawa wanaongea kuhusu jamaa wao mmoja aliye kutana na msichana wiki iliyopita na amemuoa hv sasa kamuweka ndan ndo wao wanasema itakuwa amepewa limbwata mana wanadai wamemshaur lakn jamaa hakusikia je wana JF THINKER hii inawezekana kuowa
 
Murefu umeunganisha hayo maneno mengine umefupisha yaani ilimradi namshukuru Mungu nimemaliza kusoma.

Mhh kumbe nanyie wanaume mpo lakini hamvumi?? we mambo ya watu ya meza ya pili uliyasikiaje?? inamaana ww ulikuwa huna la kufanya zaidi ya kusikiliza??

Ila hii kali, imenisikitisha alafu pia imenifurahisha, one week then ndoa!!! sijajua ilivyo kaa kaaa lkn hembu tungoje wadau waseme neno.
 
Aaaaagh munanikera kweli nyinyi munaotumia vifupisho kwani munashindwa nini kuandika kitu kwa ukamilfu wake?
 
Murefu umeunganisha hayo maneno mengine umefupisha yaani ilimradi namshukuru Mungu nimemaliza kusoma.

Mhh kumbe nanyie wanaume mpo lakini hamvumi?? we mambo ya watu ya meza ya pili uliyasikiaje?? inamaana ww ulikuwa huna la kufanya zaidi ya kusikiliza??

Ila hii kali, imenisikitisha alafu pia imenifurahisha, one week then ndoa!!! sijajua ilivyo kaa kaaa lkn hembu tungoje wadau waseme neno.
Susy Susy Susy
 
Kloe kardashian na Lamar ndani ya week mbili mipango ya ndoa mwezi kamili ndoa na bado wanaishi wanapendana hatari, ila hii ni kama kucheza pata potea vile unaweza kuishia pabaya au ukapata bahati mkaishi kwa upendo na amani.
 
Kloe kardashian na Lamar ndani ya week mbili mipango ya ndoa mwezi kamili ndoa na bado wanaishi wanapendana hatari, ila hii ni kama kucheza pata potea vile unaweza kuishia pabaya au ukapata bahati mkaishi kwa upendo na amani.
I must admit huyu binti ni mzuri sana wanakimbizana sana na dada yake Kim
 
Murefu umeunganisha hayo maneno mengine umefupisha yaani ilimradi namshukuru Mungu nimemaliza kusoma.

Mhh kumbe nanyie wanaume mpo lakini hamvumi?? we mambo ya watu ya meza ya pili uliyasikiaje?? inamaana ww ulikuwa huna la kufanya zaidi ya kusikiliza??

Ila hii kali, imenisikitisha alafu pia imenifurahisha, one week then ndoa!!! sijajua ilivyo kaa kaaa lkn hembu tungoje wadau waseme neno.

ckia wa2 wanakula dubai na kuongea kwa nguvu huku wakiwa wanaongesha wanataka msaada wa ushaur mwsho wa siku nilijumuika nao kimaongez na kidubai zaid mana ukiona m2 anatoa saut ujue anaki2 anataka usikije na hvyo ndivyo ilivyokuwa mama suzy ckuwa na nia ya kusema ninataka nisikie nini au kuwa mbeya hapana ila wenyewe walivyokuwa wanaongea ndo wakanipa picha nzima plz suzy nitake radh bana
 
Aaaaagh munanikera kweli nyinyi munaotumia vifupisho kwani munashindwa nini kuandika kitu kwa ukamilfu wake?

kama umeelewa vifupisho tatzo lipo wap huna jipya wewe kumbe upo 2 kujaza nafas
 
Kloe kardashian na Lamar ndani ya week mbili mipango ya ndoa mwezi kamili ndoa na bado wanaishi wanapendana hatari, ila hii ni kama kucheza pata potea vile unaweza kuishia pabaya au ukapata bahati mkaishi kwa upendo na amani.

ila gaga kibongo bongo ukimuoa chn ya miez sita tabu mana unajulikana kesho unaachika kama inavyokuwaga kwa wasanii we2 wa muzik na filamu
 
Haya tushajua uko Dubai!!Nwy inawezekana sana...zipo ndoa za aina hiyo na zinadumu sana tu na kuna wanaojuana miaka alafu miezi mitatu tu wanashindwana!Chemistry na moyo vyote vikikubali hata siku tatu tu mnaweza kuoana na mambo yakanyooka!
 
Haya tushajua uko Dubai!!Nwy inawezekana sana...zipo ndoa za aina hiyo na zinadumu sana tu na kuna wanaojuana miaka alafu miezi mitatu tu wanashindwana!Chemistry na moyo vyote vikikubali hata siku tatu tu mnaweza kuoana na mambo yakanyooka!
Kumbe uko VIA MOBILE ndio maana kule kwingine sikupati
 
watu watakulaje mji? au dubai ni chakula?

mi sioni shida wao kuoana hata kama wangefanya hivyo masaa baada ya kukutana.....waende tu ANGAZA then waoane....maisha hayana formula....wangapi wamekaa seven years or more na hawakuoana wala hata kujuana inavyotakiwa.....waachwe na maisha yao...:director:
 
ckia wa2 wanakula dubai na kuongea kwa nguvu huku wakiwa wanaongesha wanataka msaada wa ushaur mwsho wa siku nilijumuika nao kimaongez na kidubai zaid mana ukiona m2 anatoa saut ujue anaki2 anataka usikije na hvyo ndivyo ilivyokuwa mama suzy ckuwa na nia ya kusema ninataka nisikie nini au kuwa mbeya hapana ila wenyewe walivyokuwa wanaongea ndo wakanipa picha nzima plz suzy nitake radh bana

usijali!!

nakutaka radhi Murefu
 
Haya tushajua uko Dubai!!Nwy inawezekana sana...zipo ndoa za aina hiyo na zinadumu sana tu na kuna wanaojuana miaka alafu miezi mitatu tu wanashindwana!Chemistry na moyo vyote vikikubali hata siku tatu tu mnaweza kuoana na mambo yakanyooka!

okay ckatai ila kitanzania kwel umjue m2 wik na akuoe au uolewe kwel inawezekana hyo au ndo ilakuwa kama wanavyofanya wasanii we2 wa muzik na filamu mana hawa huyu kamchukuwa huyu na huyu kamchukuwa yule mwsho wa cku wanatangaza ndoa hewa kaz kwel kwel ila cjui yan wiki umeoa au kuolewa duh?
 
Back
Top Bottom