Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Copen hagen 


Wewe umechanganyikiwa kabisa, hakuna kitu cha bure duniani.Mzuqa
Kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu uliyetukuka, Bernard mwana wa Membe, huko wapi watu tuna kufa kwa njaa.???
Unavyozidi kuwa kimya wengi wanapoteza maisha kwa njaa. Baba yetu Kamilius tusaidie aisee. Wee tamka tu.
Ukitaamka tu nataka kuwa Rais yani kutamka tu shilingi itapanda thamani. Bei ya vitu itashuka watumishi watafurahi watanzania watapata nafuu.
Kamilius baba jitokeze maamae tunakufa na njaa baba. Kamilius tusaidie. Kamilius napaza sauti yangu yote tusaidie tunakufa na njaa.
Membeeeeee Mwanadiplomasia wa aina yake!
Meeembeee Kachero mbobezi tusaidie baba tunakufa na njaaa.
Kamiliuuuuuuusssssss!
Hivi tarehe ya kurudi bado..?Yule jamaa wa ubelgiji naye akitamka anautaka urais shilingi itapanda ? au hii ni kwa huyu aliyeko ndani ya chama kimoja? kwa hiyo wa chama kimoja wanatishiana nyau na kuogopana wenyewe kwa wenyewe!
Sikubaliani na wewe hapana maoni yake yana mantiki sema uwasilishaji wake umejaa midhaha na masihara!.Soma ZAB.1:1-2,Heri mtu yule asiyekwenda shauri la wasio haki............................................!nonsense
Hivi tarehe ya kurudi bado..?
Yule mliyempiga risasi??Yule jamaa wa ubelgiji naye akitamka anautaka urais shilingi itapanda ? au hii ni kwa huyu aliyeko ndani ya chama kimoja? kwa hiyo wa chama kimoja wanatishiana nyau na kuogopana wenyewe kwa wenyewe!
midhaha