kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,126
- 24,421
KAMIKAZE DRONES ZAHATARISHA JESHI LA UKRAINE.
Drones za Iran ambazo ziliipa russia zinahatarisha maisha ya wanajeshi wa Ukraine. Drones hizo ni hatari katika mashambulizi. Ni mara ya kwanza kutumika drones kutoka nchi nyingine hasa Iran, makamanda wa jeshi la Ukraine wasema.
Drones za Iran zilizopakwa rangi ya russia, zilianza kutumika wiki iliyopita kaskazini-mashariki mwaka mkoa wa Kharkiv
Drones za Iran zinaenda kwa kasi huwa zinashambulia eneo husika bila kukosea alisikika akisema kamanda wa kikosi cha mizinga cha Ukraine Kanali Kilion Kulagin.
Drones za Iran ambazo ziliipa russia zinahatarisha maisha ya wanajeshi wa Ukraine. Drones hizo ni hatari katika mashambulizi. Ni mara ya kwanza kutumika drones kutoka nchi nyingine hasa Iran, makamanda wa jeshi la Ukraine wasema.
Drones za Iran zilizopakwa rangi ya russia, zilianza kutumika wiki iliyopita kaskazini-mashariki mwaka mkoa wa Kharkiv
Drones za Iran zinaenda kwa kasi huwa zinashambulia eneo husika bila kukosea alisikika akisema kamanda wa kikosi cha mizinga cha Ukraine Kanali Kilion Kulagin.
