Kambi ya Upinzani mwaka 2016

Kambi ya Upinzani mwaka 2016

Incredible

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,031
Reaction score
1,603
Kama tutafanikiwa kuwa na uchaguzi huru na wahaki mwaka 2015, basi kambi ya upinzani bungeni itaongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na vyama vingine kama
NCCR
CUF
TLP
n.k
Mawaziri wa serikali ya Chadema watatakiwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa maana upinzani utakuwa mkali sana. Pia sidhani kama kutakuwa na wasaliti wengi maana hapatakuwa na sababu ya mtu kusaliti.
 
Watanzania mungu atuidie wote mabadikliko ya amani na ya kweli yatokee kwa faida hata yaCCM pia
 
Nastahili kukutunuku PhD.
NADHANI UPINZANI HAUTAKUWA MKALI MAANA MAJAMBAZI YOTE YATAKIMBILIA UHAMISHONI ILHALI MENGINE YATAKUWA YANANYEA NDOO SEGEREA, KEKO AND UKONGA.
 
Kama tutafanikiwa kuwa na uchaguzi huru na wahaki mwaka 2015, basi kambi ya upinzani bungeni itaongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na vyama vingine kama
NCCR
CUF
TLP
n.k
Mawaziri wa serikali ya Chadema watatakiwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa maana upinzani utakuwa mkali sana. Pia sidhani kama kutakuwa na wasaliti wengi maana hapatakuwa na sababu ya mtu kusaliti.
Huoni kuwa ccm itaunganisha viti vyake na vile vya maswahiba wake uliowataja hivyo watapata wingi wa viti bungeni na kuiangusha serikali ya cdm?
 
Kama tutafanikiwa kuwa na uchaguzi huru na wahaki mwaka 2015, basi kambi ya upinzani bungeni itaongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na vyama vingine kama
NCCR
CUF
TLP
n.k
Mawaziri wa serikali ya Chadema watatakiwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa maana upinzani utakuwa mkali sana. Pia sidhani kama kutakuwa na wasaliti wengi maana hapatakuwa na sababu ya mtu kusaliti.
hyo mbatia ana kazi maalum pale bungeni,alishanunuliwa zamani saaaana
 
CHADEMA itakuwa kama democratic ya marekani na hali ccm kama Republican,currently lakini.
 
Kama tutafanikiwa kuwa na uchaguzi huru na wahaki mwaka 2015, basi kambi ya upinzani bungeni itaongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na vyama vingine kama NCCR CUF TLP n.k Mawaziri wa serikali ya Chadema watatakiwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa maana upinzani utakuwa mkali sana. Pia sidhani kama kutakuwa na wasaliti wengi maana hapatakuwa na sababu ya mtu kusaliti.
Ila kambi ya upinzani ya ccm itakuwa haina nguvu maana wengi wa mawaziri wata kimbilia wanako ficha hela sasa.
 
Kama tutafanikiwa kuwa na uchaguzi huru na wahaki mwaka 2015, basi kambi ya upinzani bungeni itaongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na vyama vingine kama
NCCR
CUF
TLP
n.k
Mawaziri wa serikali ya Chadema watatakiwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa maana upinzani utakuwa mkali sana. Pia sidhani kama kutakuwa na wasaliti wengi maana hapatakuwa na sababu ya mtu kusaliti.

Na wazırı wa Vıwanda atatokea Sıngıda na jukumu la kwanza nı kuanzısha kıwanda cha Gongo Karatu Mjını na Depo lıtakuwa Arusha na Irınga na Haımaye Mbeya mjını kutakuwa na Tawı. Astaghafılulah waallah Wanasıasa wa Tanzanıa wananıchosha kwelı. Wenzao wakatı wakıfıkırıa kuboresha uchumı nchı zao wao wanafıkırıa kuongeza wagongwa wa wanaougua magongwa ya INI na UKIMWI
 
Huoni kuwa ccm itaunganisha viti vyake na vile vya maswahiba wake uliowataja hivyo watapata wingi wa viti bungeni na kuiangusha serikali ya cdm?
Kumbuka itakuwa serikali tatu hivyo hao CUF hawatakuwa na kitu huku Tanganyika na NCCR viti vyao kamaMwenendo wao utakuwa huhuu wa kushuka vitin vyao vitapungua hata kwenye vilivyopo.Kwa hiyo serikali ya cdm ita kuwa namajority katika bunge na hivyo kupitisha mambo yake kirahisi
 
Na wazırı wa Vıwanda atatokea Sıngıda na jukumu la kwanza nı kuanzısha kıwanda cha Gongo Karatu Mjını na Depo lıtakuwa Arusha na Irınga na Haımaye Mbeya mjını kutakuwa na Tawı. Astaghafılulah waallah Wanasıasa wa Tanzanıa wananıchosha kwelı. Wenzao wakatı wakıfıkırıa kuboresha uchumı nchı zao wao wanafıkırıa kuongeza wagongwa wa wanaougua magongwa ya INI na UKIMWI
Hivyo viwanda vita jengwa kwenye maeneo iliyo na watumiaji mhimu.Mwigulu Nchemba atajengewa karibu na nyumba yake Huko Iramba ilil asipate taabu katika mapumziko yake atumie hiyo kitu ya kutosha
 
Kweli nimeanza kuamini Gongo sio maji, sasa hapa tunachangia nini?
 
Na wazırı wa Vıwanda atatokea Sıngıda na jukumu la kwanza nı kuanzısha kıwanda cha Gongo Karatu Mjını na Depo lıtakuwa Arusha na Irınga na Haımaye Mbeya mjını kutakuwa na Tawı. Astaghafılulah waallah Wanasıasa wa Tanzanıa wananıchosha kwelı. Wenzao wakatı wakıfıkırıa kuboresha uchumı nchı zao wao wanafıkırıa kuongeza wagongwa wa wanaougua magongwa ya INI na UKIMWI
Kiukweli umetoa pendekezo mhimu sana kipindi hicho kuzalisha gongo kwawingi,kwasababu wengi wa wanaccm wa sasa watakuwa majumbani tu wakiwa choka mbaya,na burudani pekee kwa watukama hao ni hiyo kitu
 
Kweli nimeanza kuamini Gongo sio maji, sasa hapa tunachangia nini?
Tunachangia hali itakavyo kuwa ccm watakavyo kumbwa na Anguko na kuwa chama kikuu cha upinzani.Maada iko wazi mkuu,niwewe umeshindwa kuelewa.Hilo huwa lina wapata waliosoma shule za kata
 
Tunachangia hali itakavyo kuwa ccm watakavyo kumbwa na Anguko na kuwa chama kikuu cha upinzani.Maada iko wazi mkuu,niwewe umeshindwa kuelewa.Hilo huwa lina wapata waliosoma shule za kata

pyuuu!!!
Wewe uliyesoma seminary jibu maswali yafuatayo
1. Kwanini Slaa anatembea na mke wa mtu na kuzaa nae bila ndoa huku akimwita mchumba?

2. Kwanini Mbowe anazini na wambunge wa viti maalumu kwa kutumia pesa za walalahoi huko Dubai?

3. Kwanini chadema walimuua chacha Wangwe?

4. Mapinduzi ya viwanda huko ulaya na Marekani yalitokana na kupiga gongo?

5. Demokrasia katika siasa ni lazima uvute bangi,useme uongo na kupiga wanakusikiliza vipande vya matofali?
 
Back
Top Bottom