Kamati ya Mwakyembe iliyomtoa Lowassa madarakani

Kamati ya Mwakyembe iliyomtoa Lowassa madarakani

Wanajanvi hebu angalieni treni za wenzetu na linganisha skrepa za Mwakyembe!

Je kwa kutumia haya maskrepa ya mabehewa tumerudishwa nyuma miaka Mia Au tumesonga mbele, tumethubutu na tumeweza?

Je usalama Wa haya maskrepa pamoja na usalama Wa raia ndani ya skrepa na nje umezingatiwa?

Je hizi treni za Mwakyembe zitapunguza foleni za magari barabarani? kwa maama nyingine watu wa middle and higher class ambao wengi wao ndio wenye magari wataacha magari yao na kupanda treni ili kupunguza msongamano wa magari barabarani?

Au tuseme ni janja tu ya Mwakyembe kujitafutia umaarufu wa kisiasa?

Wakuu tujadili
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1352228241.230513.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1352228241.230513.jpg
    10.3 KB · Views: 54
  • ImageUploadedByJamiiForums1352228269.522030.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1352228269.522030.jpg
    9.6 KB · Views: 48
  • ImageUploadedByJamiiForums1352228295.693415.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1352228295.693415.jpg
    10.8 KB · Views: 58
  • ImageUploadedByJamiiForums1352228313.446276.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1352228313.446276.jpg
    10.6 KB · Views: 48
ndugu wa jf
ni muda mrefu kidogo umepita nilikuwa naomba kila mwenye kumbukumbu ya majina ya wajumbe wa ile kamati teule ya richmond natumaini hapa jf kuna hazina kubwa ya watu wenye makabati ya kuhifadhi kumbukumbu naomba mniwekee hapa

Aksanteni
 
Back
Top Bottom